Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Hiyo ni Kodroi brazaKama umetumia sabuni ya kodrai wewe ni muhenga nanusu
Umasikini wakifikra kimaendeleo unafanya tubaki bikira hatutoboi.Mbona hayo maisha bado yapo mpaka leo... Huo ni umaskini wa kipato, sio uhenga...
Hahahaha hii kitambo sana duh nilikuwa nawaona wakubwa wangu Enzi hizo ..Enzi ya wenge BCBG hiyoKama wewe ulifunga suruali kwa mkanda wa tairi la baiskeli, wewe ni muhenga
Daaahhh, nimewahi kuiona mia mbili kati ya hizo tu, ilikuwa mwaka 2001Kama ulitumia hizi hela wewe ni muhenga tena ya-weza kuwa ni class mate wa nyerere View attachment 1156370View attachment 1156371View attachment 1156373View attachment 1156374View attachment 1156375
Daaahhh, nimewahi kuiona mia mbili kati ya hizo tu, ilikuwa mwaka 2001
Daah wale wamama wa pamba nilikuwa napenda sana kuwatazama2001 !!! Mimi hiyo mia 2 ya mwinyi ambayo inapicha ya wavuvi nimeitumia mbona kabla hazija badilishwa ' Pali kuwa na 500 ya noti ambayo ina picha ya wa-mama wana vuna Pamba ..hahah ilikuwa ni kitambo kiasi chake ..... but wakati huo nilikuwa ni mdogo sana
Hiyo mia mbili nimeitumia sana, tena mpaka shule ya msingiKama ulitumia hizi hela wewe ni muhenga tena ya-weza kuwa ni class mate wa nyerere View attachment 1156370View attachment 1156371View attachment 1156373View attachment 1156374View attachment 1156375
Daah wale wamama wa pamba nilikuwa napenda sana kuwatazama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wewe ulipigwa picha ukaisubiri kwenda kisafishwa kwa miezi mitatu ikaja imeungua ndugu yangu wewe ni mhenga.
Hiyo mia mbili nimeitumia sana, tena mpaka shule ya msingi
Kwahiyo na mimi muhenga? Ok
Kwahiyo na mimi muhenga? Ok
Aisee[emoji119]Kama umepaka maua mekundu mdomoni kama lipstick...wewe ni mhenga