Wewe ni mhenga?

Wewe ni mhenga?

Huu uzi mtu kama lemutuz na wenzake kama yeye wanaupita mbali nlsikia yupo humu
 
Kama wewe ulifunga suruali kwa mkanda wa tairi la baiskeli, wewe ni muhenga
Hahahaha hii kitambo sana duh nilikuwa nawaona wakubwa wangu Enzi hizo ..Enzi ya wenge BCBG hiyo
 
Kama ulitumia hizi hela wewe ni muhenga tena ya-weza kuwa ni class mate wa nyerere
DM-3SOWWkAALVa8.jpeg
tzs50b_front.jpeg
tzs10b_front.jpeg
tzs20b_front.jpeg
tzs100b_front.jpeg
 
2001 !!! Mimi hiyo mia 2 ya mwinyi ambayo inapicha ya wavuvi nimeitumia mbona kabla hazija badilishwa ' Pali kuwa na 500 ya noti ambayo ina picha ya wa-mama wana vuna Pamba ..hahah ilikuwa ni kitambo kiasi chake ..... but wakati huo nilikuwa ni mdogo sana
Daaahhh, nimewahi kuiona mia mbili kati ya hizo tu, ilikuwa mwaka 2001
 
2001 !!! Mimi hiyo mia 2 ya mwinyi ambayo inapicha ya wavuvi nimeitumia mbona kabla hazija badilishwa ' Pali kuwa na 500 ya noti ambayo ina picha ya wa-mama wana vuna Pamba ..hahah ilikuwa ni kitambo kiasi chake ..... but wakati huo nilikuwa ni mdogo sana
Daah wale wamama wa pamba nilikuwa napenda sana kuwatazama
 
Aisee basi ulikuwa una kwenda shule na hela nyingi ..cause nakumbuka That time tsh.5 ilikuwa ndio inapotea potea lakini ilikuwa unanunua baadhi ya mahitaji kwa kuanzia tsh.10 ....... Nakumbuka nusu ya sukari tulikuwa tuna nunua kwa tsh 100 ...Kg1 ya unga ilikuwa ni 200 na kuna wakati Kg1 ilikuwa Inashuka mpaka kufikia 180....
Hiyo mia mbili nimeitumia sana, tena mpaka shule ya msingi
 
Back
Top Bottom