Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #81
Asante sana mkuuNenda tu kama ulivyo ila ukiwa na ID zako kama Nida, incase of anything sio mbaya.
Ila hakuna cha maingi zaidi ya maelezo ya biashara yako, mahala ilipo n.k. ni maelezo elezo tu
Itakua njema kama utaanzia kwa mjumbe ili atambue kilicho jiri hapo mtaani kwenu.Asante mkuu..
Je hili suala la polisi niende direct nisipite hata kwa mjumbe
Inatia huruma sana kwa mukijana mujasiriamali.Unaibiwa,unakuja kulia mtandaoni? Kwanza inatakiwa uwaambie majirani,kama mna jeshi la sungusungu basi waambie wakusanyie wajadili hali ya usalama eneo husika na mikakati ya kulinda,ukikaa kimya ipo sku utaibiwa tena alafu ukiwaambia watakuona wewe ndo mwenye makosa haukuwaambia tukio la awali. Pole sana. Wapi hapo mkuu?
Pole mkuuHapana baati nzuri vtu vyote muhimu huwa naweka ndani mkuu.
Ila ndo hvo wamechukua flat nchi 32 mpyaaaa
Duuh mjumbe tena mkuu..Itakua njema kama utaanzia kwa mjumbe ili atambue kilicho jiri hapo mtaani kwenu.
Nenda police mkuu
Daaahpole sana
Ila kama hii ni chai, unawaharibia wananchi wengine in the future watakao kuja kutafuta ushauri na hata msaada hapa JF.
tukuchangie au tuwapigie simu polisi? Walozi?😂😂😂😂
mkulu unataka nn? Huruma?😢
Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?Wakuu naombeni muongozo je nichunguze kimya kimya au nende polisi au nifanyaje mana mpaka sasa sielewi
na dataz za kutosha, niwapigie polisi waje wawashughulikie hao wevi? ni special unit task force banashuhulika na mufremu tyu, 🤣🤣🤣🤣Daaah
Kaka musaidie tyu.Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?
Ofisi yako ipo mtaani sana au barabani?
Kama ni uswahilini Andika tangazo la kupiga mkwara mzito. Inatoa siku 3 mliovunja na kuiba mrudishe vitu mlivyo lasivyo itasomwa albadiri kali sana na tusilaumiane. Au nikupe msoma albadiri mdogo wangu?
Poor Brain
Pole sana mkuu, toa tu taarifa polisi Kwa ajili ya ufwatiliajiWakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Kaka nipe...Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?
Ofisi yako ipo mtaani sana au barabani?
Kama ni uswahilini Andika tangazo la kupiga mkwara mzito. Inatoa siku 3 mliovunja na kuiba mrudishe vitu mlivyo lasivyo itasomwa albadiri kali sana na tusilaumiane. Au nikupe msoma albadiri mdogo wangu?
Poor Brain
TuwarogeWakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
DaahKinachoboa Police ukienda unakuta wanataka tena Hela sijui ya mafuta mara ya upelelezi na wakat huo mtu umeibiwa huelewi.
Ndo kilichobakiTuwaroge
Ngoja nimpigie simu bibi hangeeNdo kilichobaki