Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Ushauri kwa mimi usije jichanganya sijui Mganga au mtaaalamu maana ni utamalizia hadi mtaji ulokuwa nao.

Ripoti polisi ni muhimu sio lazima uvipate ila toa taarifa kwao.Ikitokea bahati kuvipata sawa

Jingine weka cctv camera na kufuli zenye alamu.
Pia Kuna vifaa vya Alamu ambavyo endapo mtu atafungua nje ya utaratbu au kuvunja huwa hizi zinawafukuzisha wezi. Huwa vinakaa nyuma ya mlango(kwa ndani)
 
Umeibiwa bidhaa zipi?
Umeibiwa maeneo gani?
Mazingira ya kuibiwa yapoje?
Unao washuku ni akina nani?
Gharama ya vilivyo ibiwa ni pesa ngapi?
Mambo gani ulikosea hata kusababisha ukaibiwa?
Umesha report kituo ya polisi?
Ebu tuanzie hapo kwanza ili tuone namna gani tunakushauri.
Pole sana
Bidhaa za electronic ikiwepo flat
Na vifaa vingine vidogo vidogo

Maeneo ya hapa mtaani ambako kuna fremu pia ndo kuna chumba nachoishi
(Kutaka location specific natuma pm)

Bado sijaanza kushuku exactly ila ni hawa hawa vijana naoshinda nao hapa mtaani maana wanajua A to Z ya movement zangu

Ghalama za vitu nilivyo ibiwa kwa kukadiria ni kama laki 5 na 80

Nipo peace na watu na vijana wa hapa hvyo sizani kama kuna sababu exactly ya wao kunifanyia hvi

Sijaripoti mpaka sasa maana sijui naanzia wapi wala sijui huko polisi naenda na vitu gani hii ndo mara ya kwanza

Nipo gongo la mboto
 
Bidhaa za electronic ikiwepo flat
Na vifaa vingine vidogo vidogo

Maeneo ya hapa mtaani ambako kuna fremu pia ndo kuna chumba nachoishi
(Kutaka location specific natuma pm)

Bado sijaanza kushuku exactly ila ni hawa hawa vijana naoshinda nao hapa mtaani maana wanajua A to Z ya movement zangu

Ghalama za vitu nilivyo ibiwa kwa kukadiria ni kama laki 5 na 80

Nipo peace na watu na vijana wa hapa hvyo sizani kama kuna sababu exactly ya wao kunifanyia hvi

Sijaripoti mpaka sasa maana sijui naanzia wapi wala sijui huko polisi naenda na vitu gani hii ndo mara ya kwanza

Nipo gongo la mboto
Kama hujui basi tukuambie mtu unaye muamini, mtu wako wa karibu, watu unashinda nao ndio waliokuibia...
Nenda police katoe taarifa hakuna chochote unachotakiwa kwenda nacho hata buku... Watakuuliza utaje vitu ulivyoibiwa na unahisi ghrama yake itakuwa bei gani... Ni mahojiano ya dk5 tu.

💩Usikubali kuombwa na kutoa pesa ya upelelezi
 
Kama hujui basi tukuambie mtu unaye muamini, mtu wako wa karibu, watu unashinda nao ndio waliokuibia...
Nenda police katoe taarifa hakuna chochote unachotakiwa kwenda nacho hata buku... Watakuuliza utaje vitu ulivyoibiwa na unahisi ghrama yake itakuwa bei gani... Ni mahojiano ya dk5 tu.

💩Usikubali kuombwa na kutoa pesa ya upelelezi
Asante mkuu ngoja nifanye hvo..
Nafungua ofisi then naenda

Nikitaka kujua kama kuna pesa nitatakiwa kulipa
 
Asee ukimalizana na uyu unisaidie swala langu ,jana nimekaa kwenye biashara yangu haina ata mwezi akaja mama mmoja ni mteja wa mda toka nifungue hii ofisi nimekuwa niki muona kila nikikaa jioni ,Sasa jana kwenye kuongea kidogo na mteja aka ingiza mambo ya ulinzi yani sielewi aliwaza ninii hadi kufikia kuniambia habari za ulinzi (ulinzi wa anga) kwamba ni muhimu nijaribu kijikinga.

Aka nieleza na option kadhaa za tiba yenyewe sikupata mda wa kuongea nae sana maana wateja walikua wanakuja lakini nime baki njia panda pengine wagogo wa Dodoma wamesha niweke kwenye Rada na uyu kaja kama mjumbe.

Mshana Jr
 
Bidhaa za electronic ikiwepo flat
Na vifaa vingine vidogo vidogo

Maeneo ya hapa mtaani ambako kuna fremu pia ndo kuna chumba nachoishi
(Kutaka location specific natuma pm)

Bado sijaanza kushuku exactly ila ni hawa hawa vijana naoshinda nao hapa mtaani maana wanajua A to Z ya movement zangu

Ghalama za vitu nilivyo ibiwa kwa kukadiria ni kama laki 5 na 80

Nipo peace na watu na vijana wa hapa hvyo sizani kama kuna sababu exactly ya wao kunifanyia hvi

Sijaripoti mpaka sasa maana sijui naanzia wapi wala sijui huko polisi naenda na vitu gani hii ndo mara ya kwanza

Nipo gongo la mboto
Pole nasa.
Sasa anzia polisi ukaripoti na kisha ufungue kesi ya kuibiwa na kama haujamshuku mtu pia nisawa.
Ukisha pewa RB inaweza ikakusaidia kuwapata wezi wa vitu vyako, kama TV itapatikana maana utakua ndio mwanzo.
Kumbuka kwamba unapo toa taarifa police inasaidia maana wengi wana faham baadhi ya vibaka wa mtaani na pia wanazijua machimbo mengi yanayo uza vitu used ama vya wizi.
 
Pole nasa.
Sasa anzia polisi ukaripoti na kisha ufungue kesi ya kuibiwa na kama haujamshuku mtu pia nisawa.
Ukisha pewa RB inaweza ikakusaidia kuwapata wezi wa vitu vyako, kama TV itapatikana maana utakua ndio mwanzo.
Kumbuka kwamba unapo toa taarifa police inasaidia maana wengi wana faham baadhi ya vibaka wa mtaani na pia wanazijua machimbo mengi yanayo uza vitu used ama vya wizi.
Asante mkuu..
Je hili suala la polisi niende direct nisipite hata kwa mjumbe
 
Back
Top Bottom