MsahaulifuSipendi fujo zozote zile,
Mwepesi sana wa kusahau vitu
Hahahahahahhaha. Unaogopa ule mwanga au ile mngurumo mkuu?
Ng'ombe nilikuwa namuogopa nilivyokuwa mdogo, nilianza kuwazoea taratibu hadi leo sina uoga nae. Simpendi Nyoka, sio kwamba namuogopa, wala sitakagi utani na hiko kiumbe tena ukitaka unichukie maisha yako yote. Niletee utani wa hiko kituπππaisee wewe ni mimi kabisa. .
yaani unaishi ndani yangu
ila mimi nina ogopa ng'ombe
Mimi wala hata sitaki kujua kama ni shida wala nini, ila kuna wadada huwa nikiwapenda, nawapenda kweli ila nikishampa mgongo kwa kuona kumpenda kwangu ni udhaifu, atapenda tu.mkuuu apo kwenye kuona mahusiano ni kero kma tunalandana uwa nakinai mahusiano harak san sijui shida ni nn
Serious mkuu..mimi na ng'ombe daah tuko different. .huwa siwaamini kabisa
Hapa kwenye Radi unanigusa mimi piaπ , wakati nipo mdogo nishashuhudia radi inachana mti kuwa mbao π€since that day ile picha haitoki akilini, nikianza kusikia radi tu nalose confidence kabisa.Vyote mkuu, Yaani mvua yenye NGURUMO NA RADI daah iman inashuka inakuwa 0%, nanyong'onyea, nakuwa mdogo, nakuwa mkimyaaaa najjikatia tamaa.
Ujanja wote huo ng'ombe anakukalisha..ππSerious mkuu..mimi na ng'ombe daah tuko different. .huwa siwaamini kabisa
Izo majina ya username waga unayatamka wapi?Sijui hesabu.
Yaani sijui hesabu hata kutamka zile namba naona uvivu. Mfano humu kuna username zina namba zile namba hua sizitaji yaani mfano username ina jina castr123 mi natamka tu 'castr' bila hizo namba.
Damn.
Wewe kwa impact gani uliyonayo mapka unajiogopa Ivyo?Well kwa watu smart. Hili swali lako litawafanya watu wengi wa spill details zao binafsi bila wao kujua.
Details hizi zinaweza kuchukuliwa na watu au mtu .. ana akatengeneza character yako kupitia uliyo yasema.
Pia inaweza kutumika kumsoma muhusika na id yake.
So to me no thanks man. Ningeweza but it too risky kuweka character yangu on public.
Unaogopa wale wanaopiga? Au hata kama hapigi?ππππ ndio usinicheke madame..ng'ombe na waogopa tena sana
Sipendi fujo zozote zile,
Mwepesi sana wa kusahau vitu
ππmimi namjuaje sasa anayepiga na asiyepiga. mimi naogopa wote tuUnaogopa wale wanaopiga? Au hata kama hapigi?
Kweli na ujanja wako wote ng'ombe anakukalisha chini?πππ
Okay πutakuwa na elements za ushoga
duh mzee hatareei have so fukn weak heart....i am so sensitive....i love easily
i get irritated easily too
i have a wife and kids but still love my ex too much that everyday i hope one day we will get back together
Nitafutie dawa basiMsahaulifu