Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Sasa Magu kaingiaje APA,!?Sasa fikiria kwa nini watu wafikirie ni TCRA na si vinginevyo? Upuuzi aliouanza Magu wa kuzimana na mitandao mambo ya giza sana na kuyaacha yanaendelea ndiyo sababu…Hakuna ambaye angewaza hivyo kwenye utawala wa kikwete
Mbona mimi ipo poa tu au hi Facebook fake[emoji1787][emoji1787]
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Bae wake kamzingua… 🏃🏼♀️🏃🏼♀️Yes. Balaa tupu. Marc sijui kapatwa na nini?
Tumia telegram
Haina haja ya kujua maana kila mtu anaelewa vibopa wa siasa nchini ni mafisadi ( Re: A. Chenge "hivi ni vijisenti tu")Duh!!
Aisee vp kwenye Pandora papers Bongo tumetoboa, maana sijafuatilia vizuri. Uhuru hajatoboa naona kimeumana na Pandora. Tuone wakenya sasa!!!
Hilo si tatizo kumiliki yote, hii ni ishu tu imekumba server zaoKummilikisha mtu mmoja mitandao mitatu mistake
Mark ameifanya hii mitandao kuwa na sheria moja akizima anazima kote
Ni kama serikali ilivyoiminya mifuko ya jamii ikaifanya kitukimoja mwishowe na sheria zimekuwa moja likitokea la kutokea ni kote kote
Ndio ipoje tupia logo hapaTunaotumia Ghost watsapp tunawashangaa
Mwongo huyo, Gb inatumia server ya Whatsapp na iliyokuwa down ni server ndiyo maana haipo hewani.Unaweza tuma screen shot?
Acha kutupiga kamba, server imezimwa utateleza vipi na hiyo browser ya Dark web wakati kinachofanya fb iwe on kimezimwaTumia tor browser....Mimi nnateleza Na the onion router
Ila wabongo[emoji119]
Itakua maana nipo huku soweto south africa issue nako ngumuMkuu siyo TCRA hata hapa Copenhagen Denmark inasumbua pamoja na Facebook. Nilitaka kuleta uzi kama huu umeniwahi Aisee. Sijui ni global phenomenon