Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Sasa Magu kaingiaje APA,!?Sasa fikiria kwa nini watu wafikirie ni TCRA na si vinginevyo? Upuuzi aliouanza Magu wa kuzimana na mitandao mambo ya giza sana na kuyaacha yanaendelea ndiyo sababu…Hakuna ambaye angewaza hivyo kwenye utawala wa kikwete