WHO: Corona Virus inaweza isiondoke
WHO hawa hawa si ndio walikuwa wamesema virus hivi haviambukizi kutoka kwa binafanu mmoja kwenda kwa kwingine (no human to human transmission) japokuwa Kuna nchi zilisema vinaambukiza kutoka kwa binafanu kwenda kwa binadamu

WHO hawa hawa wakasema Africa watakufa watu zaidi ya 300,0000, wakaja kubadili Tena wakasema 190,000, wakaja kubadili tena


Sent using Jamii Forums mobile app
WHO sio wa kuwaamini tena, kila leo wantoa matamko yanayopingana.

Ndio maana Trump aliamua kuwaondolea pesa.
 
Kuna watu pua zao zilipoteza hata uwezo wa kunusa kisa mihemko ya Mkuu wa mkoa na Wizara ya Afya, ndio maana waliitwa wapuuzi. Sema na WHO nao kila siku wanabadilisha tu kauli zao, hawana uhakika wanachofanya. Serikali iharakishe kitu cha Madagascar kianze kuuzwa halafu WHO watakuja kujifunza kwetu.
 
WHO hawa hawa si ndio walikuwa wamesema virus hivi haviambukizi kutoka kwa binafanu mmoja kwenda kwa kwingine (no human to human transmission) japokuwa Kuna nchi zilisema vinaambukiza kutoka kwa binafanu kwenda kwa binadamu

WHO hawa hawa wakasema Africa watakufa watu zaidi ya 300,0000, wakaja kubadili Tena wakasema 190,000, wakaja kubadili tena


Sent using Jamii Forums mobile app
wameikataa pia juisi ya madagascar,
 
Ipo siku Mabeberu yatamuomba radhi Rais Magufuli
Hujui mifumo wewe, unatakawaombe radhi mara ngapi? Issue ya Accacia/ makinikia waliomba radhi mwisho ikawaje? Hela mmelipwa? Acha kucheza na mfumo?
 
Inategemea na aina ya dawa inayo puliziwa

Uko sahihi mko. Kinachotakiwa ni kuleta mazingira ambayo pH balance ya sehemu husika itakuwa si nzuri kwa vidudu kuishi. Watu wengi humu hawajui hata sabuni au alcohol sanitizer ina vitu gani ambavo huua vijidudu. Hawajui hata kupuliza na moja tu ya namna na administration. Hawawezi kukua hata tofauti ya sindano, IV, kidonge kidogumu na capsules kwanini zinafanywa na mazingira yapi.
 
CCM bana yaani WHO mnawasikiliza na kuwaona wa maana Kama wakiendana na tamko la Magufuli, Ila wakitamka vingine Kama dawa ya Madagascar haijathibitishwa Kisayansi WHO wanakuwa ni mabeberu


Japo kwa msimamo binafsi naona WHO sio wa kuaminika 100%, muhimu ni kufanya utafiti wetu binafsi na kuona Kama huko kupulizia kunafanya kazi ama la, kwani ni simple experiment tu. mnaambukiza virusi kwenye surface mahali kisha mnahakikisha hiyo surface ina virusi kweli, then baadae mnapulizia kisha baada ya kupulizia mnapima Kama bado mtapata virusi, Kama experiment simple Kama hii inatushinda basi haina hata ya kufundisha Sayansi

Ya Nini kuwatumia Kama reference watu ambao tumeshasema hatuwaamini??


WHO hawa hawa si ndio walikuwa wamesema virus hivi haviambukizi kutoka kwa binadamu mmoja kwenda kwa mwingine (no human to human transmission) japokuwa Kuna nchi zilisema vinaambukiza kutoka kwa binadamu kwenda kwa binadamu

WHO hawa hawa wakasema Africa watakufa watu zaidi ya 300,0000, wakaja kubadili Tena wakasema 190,000, wakaja kubadili tena wakataja sijui ngapi


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wameendana jikite kwenye hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu pua zao zilipoteza hata uwezo wa kunusa kisa mihemko ya Mkuu wa mkoa na Wizara ya Afya, ndio maana waliitwa wapuuzi. Sema na WHO nao kila siku wanabadilisha tu kauli zao, hawana uhakika wanachofanya. Serikali iharakishe kitu cha Madagascar kianze kuuzwa halafu WHO watakuja kujifunza kwetu.
Una point kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lockdown waliyojiwekea wabunge wa chadema haitaisha ama?
 
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ amesema #CoronaVirus wanaweza wakaendelea kuwepo na kujiunga na virusi vingine vinavyoendelea kuua watu duniani

Amesema hafananishi virusi hivyo ila ni vyema kujua uhalisia, kwa kuwa hakuna anayeweza kutabiri siku ambayo ugonjwa huo unaweza kuondoka

Amesema chanjo inaweza kupunguza madhara ya #CoronaVirus, lakini chanjo inapaswa kuwepo na kuwa na ufanisi wa hali ya juu na kupatikana kwa kila mtu duniani

======

The new coronavirus may never go away and may just join the mix of viruses that kill people around the world every year, Dr. Mike Ryan, executive director of the World Health Organization health emergencies program, said Wednesday.

"This virus just may become another endemic virus in our communities and this virus may never go away. HIV hasn’t gone away," Ryan said.
"I’m not comparing the two diseases but I think it is important that we’re realistic. I don’t think anyone can predict when or if this disease will disappear," Ryan added.

With a vaccine, "we may have a shot at eliminating this virus but that vaccine will have to be available, it will have to be highly effective, it will have to be made available to everyone and we’ll have to use it," Ryan said. "This disease may settle into a long-term problem or it may not be."

Yet the future of coronavirus does not have to be all doom and gloom, according to WHO infectious disease epidemiologist Dr. Maria Van Kerkhove.

"The trajectory of this outbreak is in our hands," Van Kerkhove said during Wednesday's briefing.

"The global community has come together to work in solidarity," Van Kerkhove said. "We have seen countries bring this virus under control. We have seen countries use public health measures."

WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Van Kerkhove's sentiments on Wednesday and added, "We should all contribute to stop this pandemic."
Hiki kiingereza kigumu sana, hivi mbona sioni aliposema kuhusu upuliziaji dawa kama ulivyoandika kwenye kichwa cha habari? Au Mimi ndo sioni wenzangu mmeshapaona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo lipo wazi, namshauri Mh. Raisi aanze ku deal na Rwanda, Zambia na Kenya, hawana best interest na nchi yetu, umafia umafia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nchi jirani wakifanya maamuzi ya kuji protect wao kama wao .. tanzania inaonewa? Hii mentality mnaitoa wapi? Hizo nchi si makoloni ya tanzania.
Wana sheria zao.. na katiba zao. Wana maamuzi yao wenyewe.
Waachwe.. kama vip tufanye yakwetu. Sio kuja kulalamika hapa as if tuna hati miliki za hizo nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom