Yes but wakiamua kuungana kufanya kama kikundi maana yake kuna ill intention, meetings convened, decisions made...ukiwa na akili timamu utajua hawa jamaa ni wanataka kuharibia tz picha yake, kila nikisoma reports za madereva wa tanzania wenye maambukizi unakuta wako 2 - 6 kwemye waliopimwa 2300+ huko uganda, ukicheki wa kenya ni 10+ ila news ni watanzania nashindwa kuelewa...waliopimwa ni maelfu but one or two tanzanian found with covid 19 is problem to close border
Sent using
Jamii Forums mobile app