Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

???????????
 
Shuleni sijui ulikuwaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana ana uCuF CUF yeye na mjomba wake Mansour Himid aliyeasi Ccm na kuingia CuF na kugombea uwakilishi na kushinda kwenye uchaguzi wa uliomfanya Jecha kuwa kifutio!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mtoti wa Amani Abed karume na mjukuu wa Abeid Aman Karume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka anayemtetea ni rais wake na hili haliangalii kuwa ni wa chama gani cha siasa na kwa mujibu wa swali lako huyo ni wa familia kabisa ya mh Abeid aman karume we mwangalie Shadya alaf mwangalie yeye utagundua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelewa swali lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo big Fatma huyo
Imma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…