Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?


Mtu akichunguza vizuri avatar yako atagundua una tatizo kichwani.
Achana na profeshen usizozijua.
 
John Okello sijamuona hapo.

Tombatomba idevice Model TH 45
 

= bib
 
Jamiiforums ni zaidi ya google,au ulikua hujui hilo?
 
Huyu anaitwa Fatma Amani Abeid Amani Karume, ni mjukuu wa mzee Karume, ni mtoto wa kwanza wa Amani Abedi Amani Karume aliyekuwa rais wa Zanzibar kabla ya Shein

Jamii Forums mobile app
 
huyo binti kwa ujasiri aliouonyesha hivi majuzi, ametengeneza cv nzuri sana kwa siasa za tz na zanzibar siku za mbeleni. huyo atakuja kuwa waziri muda si mrefu.
 
umetiririka saaanaa kumbe swali mtoa post hajauliza unachokijibu[emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…