morning dew
Member
- Jun 7, 2017
- 42
- 11
Kumbe sie wenye kutumia techno tumepitwa na wakati na hatuna haki kuitwa watu twaitwa MAJITUKuna majitu humu yanatumia tecno,tena hata kununua hiyo tecno yamejinyima kweli lakini yanajifanya yanafia chama kwa kutetea ujinga
HUYU WAKILI NI CLASSIC NA ILA SIJAJUA KUWA ANAUNDUGU GANINaomba kujua wanabodi kama Wakili Fatma Karume ana undugu na familia ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume.
Na Je ni mwanachama wa CHADEMA?
View attachment 547337
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Nimepata habari za ndani kuwa naye atalimsha dude sipunde na Lissu ndie atayemsimamia kesi yake.Na kwa taarifa yako Wakili Msomi Fatma Karume kwenye kesi hii sio wakili tu, anamsimamia Lissu kwenye hili kimkakati. Tulizana uone.
Tundu Lissu ni habari nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
John Okello sijamuona hapo.HUYU NI MTOTO WA RAIS MSTAAF WA Z'BAR NDG ABEID AMAN KARUME. Mama yake ni bi Shadia Himid Karume mke wa mstaafu. Mjombaake ni Mansour Himid galacha la CUF huko Unguja. upande wa mama yake ni purely Arabs (mama na Babu yake) na upande wa Baba ni Purely Bantus (baba,bb,babu) thats y ni shombshombe. Babu zake kiumeni ni aliyekuwa Rais wa kwanza wa Z'Bar na M/kiti wa BM na kikeni ni Mwanajeshi aliyeshiriki ktk Mapinduzi ya Z'Bar.
Naomba kujua wanabodi kama Wakili Fatma Karume ana undugu na familia ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume.
Na Je ni mwanachama wa CHADEMA?
View attachment 547337
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hakuna kitu tunachovaa Mawakili kinachoitwa beeb. Tuna bibs and robes. Usizungumze usivyovijua
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Huna lolote la maana unalojua wewe; kaa kimya tu.Mtu akichunguza vizuri avatar yako atagundua una tatizo kichwani.
Achana na profeshen usizozijua.
Jamiiforums ni zaidi ya google,au ulikua hujui hilo?Mtoto wa Karume amshauri Dk. Shein Ampishe Maalim Seif
Siku nyingine jishughulishe hata kwa kugugo tu Mkuu. Kwa wakati wa sasa, si kila kitu ni cha kuuliza.Kiufupi,Wakili Msomi Fatma Karume ni mtoto wa Rais Mstaafu Amani Abeid Karume na mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume. Kuhusu uanachama wa CHADEMA, sijawahi kuiona kadi yake hivyo siwezi kulisemea.
Na wala hajui kwanii wale wazee waliamua kuwaoa machotara wa kiarabu
umetiririka saaanaa kumbe swali mtoa post hajauliza unachokijibu[emoji3] [emoji3]Bara na pwani wapi na wapi labda sema wote wana taalum moja ya sheria na sidhani kama undugu au chama kwa mambo ya kisheria ni issue, kikubwa kama mtu ameona kwa taalum yake anaweza saidia na labda kujisaidia na pengine utawala haufuati sheria au kuna malipo basi taalum na msukumo ndo vina m 'drive' mtu
Lissu???? wakat lowassa kashjipitisha kura za maoni kwa kujitangaza kuwa ndie mgombea rasm wa ukawa 2020Rais Lissu,Makamu Fatma Karume,Zenj Maalim Seif patamu hapo balaa