dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
Ingekua vizuri ukafanya juhudi ukauona huo mkatabaNaishia hapa kwa leo.
Naomba kusaidia kidogo. Kwa mujibu wa hilo Tangazo la mirathi, Alice Wanjiku Karanja ndiye marehemu, the deceased na mali yake ndio inasimamiwa na Joyce Waithira Gatoho Muigai. Msiba umetokea 1986, kesi ya usimamizi wa mirathi imefunguliwa 2001. Jina la Marehemu ni Alice Wanjiku Karanja na kampuni imesajiliwa mwezi June 2016 share holders wakiwa Joyce Waithira Gatoho Muigai na Alice Wanjiku Gatoho, hivyo kisheria jina la Alice Wanjiku Karanja is not necessary Alice Wanjiku Gatoho, sometimes ni majina tuu kufanana mfano Rais wa kwanza wa Zanzibar ni Abedi Amani Karume, mkewe ni Fatma Karume, mtoto wa Abedi Amani Karume ni Amani Abedi Karume na binti yake ni Fatma Karume. Kampuni ikisajiliwa leo kwa jina la Fatma Karume is not necessary Fatma Karume mke wa Abedi Amani Karume bali ni Fatma Karume binti wa Amani Abedi Karume ambaye ni mjukuu wa Abedi Amani Karume. Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume, ndio maana kisheria majina huwa ni matatu, yasipo fanana, is not necessarily is the same person no matter majina yanafanana vipi!.Mkuu Mkirindi,
Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.
Ninachokijua mimi ni hiki:
1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho
View attachment 1010458
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake
View attachment 1010459
Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.
Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.
2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei
Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.
Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).
Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):
View attachment 1010461
Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.
Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:
View attachment 1010475
Naishia hapa kwa leo.
Julius Nyerere mtoto wa Burito na Julius Nyerere mtoto wa Makongoro NyerereNaomba kusaidia kidogo. Kwa mujibu wa hilo Tangazo la mirathi, Alice Wanjiku Karanja ndiye marehemu, the deceased na mali yake ndio inasimamiwa na Joyce Waithira Gatoho Muigai. Msiba umetokea 1986, kesi ya usimamizi wa mirathi imefunguliwa 2001. Jina la Marehemu ni Alice Wanjiku Karanja na kampuni imesajiliwa mwezi June 2016 share holders wakiwa Joyce Waithira Gatoho Muigai na Alice Wanjiku Gatoho, hivyo kisheria jina la Alice Wanjiku Karanja is not necessary Alice Wanjiku Gatoho, sometimes ni majina tuu kufanana mfano Rais wa kwanza wa Zanzibar ni Abedi Amani Karume, mkewe ni Fatma Karume, mtoto wa Abedi Amani Karume ni Amani Abedi Karume na binti yake ni Fatma Karume. Kampuni ikisajiliwa leo kwa jina la Fatma Karume is not necessary Fatma Karume mke wa Abedi Amani Karume bali ni Fatma Karume binti wa Amani Abedi Karume ambaye ni mjukuu wa Abedi Amani Karume. Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume, ndio maana kisheria majina huwa ni matatu, yasipo fanana, is not necessarily is the same person no matter majina yanafanana vipi!.
P.
Read his linked profile it shows you alipozaliwa,somea na atokapoHakuna 'surname' ya kimeru au ukoo unaoenda kwa jina la 'mutembei'...
Mutembei, mutegeki, mutembuzi,nk ni majina ya kihaya
raw cashew prices in the global market were about US$2,100 – US$2,150 per tonne by Jan last yearHapana huo ni uongo na unafiki, Wako watu tayari kununua kwa $1400 -1500/=, haiwezekani kwa robo bei. Korosho za Tz ni bora kwa ukubwa na uzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Mutembei ni Tanzanian citizen?Aliyenunua Korosho hizo ni mtanzania mwenzetu anakaa Kenya na huwa anafanya biashara hiyo ya korosho kwa kuwagawia watanzania wenzetu fedha kuja kununua hizo korosho, alivyoona hali ni ngumu korosho imebanwa na serikali akaja kupambana hapa kwa kumuona mzee baba kama unakumbuka hapo kati alikuja nchini na akafanya mazungumzo akaweka mambo sawa sasa amefanikisha hiyo biashara (Unganisha dots utamjua).
Mkuu mimi sijui kabisa kuhusu biashara ya korosho. Waweza nisaidia kujua ni kwa namna gani hapa kunaweza kuwa na utapeli wakati hawa jamaa wanalipa cash/upfront? Issue kama hiyo kampuni ina uzoefu na ununuzi wa korosho au kuna matatizo katika uhalali wa shareholders wake inatuhusu nini au itatuathiri vipi sisi kama wauzaji? Naomba shule kuhusu hayo mkuuNasubiri waje kukanusha. Wajiandae kuja na nyaraka zinazoonyesha kampuni tofauti na yenye uzoefu katika Sekta hii kama si Richmond nyingine
Hata kama hutakubaliana na maelezo yake lakini lazima ukubali kwamba jamaa has done his homework, yuko well informed and detailed, and this how JF is supposed to beMkuu umetisha
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===
Mkuu Mkirindi,
Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.
Ninachokijua mimi ni hiki:
1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho
View attachment 1010458
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake
View attachment 1010459
Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.
Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.
2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei
Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.
Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).
Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):
View attachment 1010461
Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.
Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:
View attachment 1010475
Naishia hapa kwa leo.
Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume
Kama Biashara inafanyika Na yeyote(KANGOMBA/MATAPELI wakiwepo) kulikuwa Nashida gani kuwabana mwanzoni ?Tz inaathirika vipi kama hiyo kampuni haina uzoefu au ni madalali? Sisi cha muhimu pesa imeingia mzigo ukatoka, tunataka sasa kuwa viranja wa matepeli duniani au wafanyabiashara?
Mkuu maamuzi ya jamuhuri si kama ya mtu binafsi.Tz inaathirika vipi kama hiyo kampuni haina uzoefu au ni madalali? Sisi cha muhimu pesa imeingia mzigo ukatoka, tunataka sasa kuwa viranja wa matepeli duniani au wafanyabiashara?
Huenda serikali ya tz haijafanya due dilligence nzuri. Kenya kuna Phd za utapeli na ufisadi. Singa wa iptl alitumika na hao phd kupiga dili la kuliza taifa kenya lakini akaja au kuletwa tz akatupiga iptl. Wakenya watatupokonya tena pesa nyingi kwa robbery wahusika na mauzo ya hizo korosho please vuteni pumzi kutafakari.===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===
Mkuu Mkirindi,
Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.
Ninachokijua mimi ni hiki:
1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho
View attachment 1010458
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake
View attachment 1010459
Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.
Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.
2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei
Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.
Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).
Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):
View attachment 1010461
Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.
Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:
View attachment 1010475
Naishia hapa kwa leo.
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===
Mkuu Mkirindi,
Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.
Ninachokijua mimi ni hiki:
1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho
View attachment 1010458
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake
View attachment 1010459
Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.
Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.
2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei
Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.
Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).
Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):
View attachment 1010461
Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.
Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:
View attachment 1010475
Naishia hapa kwa leo.
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===
Mkuu Mkirindi,
Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.
Ninachokijua mimi ni hiki:
1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho
View attachment 1010458
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake
View attachment 1010459
Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.
Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.
2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei
Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.
Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).
Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):
View attachment 1010461
Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.
Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:
View attachment 1010475
Naishia hapa kwa leo.
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana
Hivi kuwa mchawi wa taifa lako unalipwa tsh ngapi haswa.. MUnapoambia fundi seremala kawa mpishi wa Serena Hotel, mtu unaweza tilia mashaka chakula atakachopika.
Nimejaribu sana ku Gogle hiyo kampuni iliyonunua korosho na huyo kiongozi wao aliyetia saini na naibu Waziri, kidogo nimeingiwa na wasiwasi.
1. Kenya kuna kiwanda kimoja tuu cha kubangua korosho kinacho fanya kazi, na ni kidogo sana. Hakiwezi kubangua hata tani 1 kwa wiki.
2. Indo Power haina uzoefu wa biashara ya korosho, na pia haijulikani.
3. Duniani hakuna kiwanda chenye uwezo wa kubangua tani 1 laki . Labda wawe Raw Cashew Traders.
4. Kwanini leo wamenunua korosho kwa bei ya $1800/= kwa tani na hali bei ya korosho ulimwenguni ipo chini wastani qa $1300/= ( west Africa = $1300 - 1400/=, Indonesia $1209/=, India 1450/= ) na tusisahau bado kuna kodi ya 15% ya bei ya ununuzi, usafirishaji nk...
5. Waziri wa kilimo alikwenda UAE kwenye kongamani la korosho, wanunuzi wote wakubwa duniani alikutana nao, inasemekana walishindwana bei, na hakupata hata order ya tani moja.
6. Sasa huyu Bw. Brian Mutembei kweli atakuwa muokozi wetu na malaika, kama hii deal ni ya ukweli, huyu ndugu anastahili medali ya juu Tanzania. Hakuna mfanyibiashara anayeweza kujiingizia hasara, huyu ananunua Korosho yetu kwa $178,000,000, sio mchezo, lakini tuwe macho.
Mwenye kuijua hii kampuni atujuze