Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Naishia hapa kwa leo.
Ingekua vizuri ukafanya juhudi ukauona huo mkataba
Kulikua na kabudi,mwanasheria mkuu na naibu waziri kilimo
kenya iliwakilishwana balozi Danny kazungu
Kwa sisi tunaoijua biashara ya korosho,ni wazi kuwa wanunuzi kadhaa wameweka pesa kwenye kapu wakaituma hiyo kampuni inunue kwa niaba yao,baada ya kutolewa mkuku na magufuli
Hapa cha muhimu korosho imeuzwa tena kwa bei ya juu kuliko mwanzo
 
Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.
Naomba kusaidia kidogo. Kwa mujibu wa hilo Tangazo la mirathi, Alice Wanjiku Karanja ndiye marehemu, the deceased na mali yake ndio inasimamiwa na Joyce Waithira Gatoho Muigai. Msiba umetokea 1986, kesi ya usimamizi wa mirathi imefunguliwa 2001. Jina la Marehemu ni Alice Wanjiku Karanja na kampuni imesajiliwa mwezi June 2016 share holders wakiwa Joyce Waithira Gatoho Muigai na Alice Wanjiku Gatoho, hivyo kisheria jina la Alice Wanjiku Karanja is not necessary Alice Wanjiku Gatoho, sometimes ni majina tuu kufanana mfano Rais wa kwanza wa Zanzibar ni Abedi Amani Karume, mkewe ni Fatma Karume, mtoto wa Abedi Amani Karume ni Amani Abedi Karume na binti yake ni Fatma Karume. Kampuni ikisajiliwa leo kwa jina la Fatma Karume is not necessary Fatma Karume mke wa Abedi Amani Karume bali ni Fatma Karume binti wa Amani Abedi Karume ambaye ni mjukuu wa Abedi Amani Karume. Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume, ndio maana kisheria majina huwa ni matatu, yasipo fanana, is not necessarily is the same person no matter majina yanafanana vipi!.
P.
 
Naomba kusaidia kidogo. Kwa mujibu wa hilo Tangazo la mirathi, Alice Wanjiku Karanja ndiye marehemu, the deceased na mali yake ndio inasimamiwa na Joyce Waithira Gatoho Muigai. Msiba umetokea 1986, kesi ya usimamizi wa mirathi imefunguliwa 2001. Jina la Marehemu ni Alice Wanjiku Karanja na kampuni imesajiliwa mwezi June 2016 share holders wakiwa Joyce Waithira Gatoho Muigai na Alice Wanjiku Gatoho, hivyo kisheria jina la Alice Wanjiku Karanja is not necessary Alice Wanjiku Gatoho, sometimes ni majina tuu kufanana mfano Rais wa kwanza wa Zanzibar ni Abedi Amani Karume, mkewe ni Fatma Karume, mtoto wa Abedi Amani Karume ni Amani Abedi Karume na binti yake ni Fatma Karume. Kampuni ikisajiliwa leo kwa jina la Fatma Karume is not necessary Fatma Karume mke wa Abedi Amani Karume bali ni Fatma Karume binti wa Amani Abedi Karume ambaye ni mjukuu wa Abedi Amani Karume. Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume, ndio maana kisheria majina huwa ni matatu, yasipo fanana, is not necessarily is the same person no matter majina yanafanana vipi!.
P.
Julius Nyerere mtoto wa Burito na Julius Nyerere mtoto wa Makongoro Nyerere
 
Inafikirisha sana kuona kampuni kama ya INDO power solutions inajishughulisha na ununuzi wa korosho badala ya kutumia muda mwingi kutafuta vyanzo na masoko ya mafuta na nishati.
 
Aliyenunua Korosho hizo ni mtanzania mwenzetu anakaa Kenya na huwa anafanya biashara hiyo ya korosho kwa kuwagawia watanzania wenzetu fedha kuja kununua hizo korosho, alivyoona hali ni ngumu korosho imebanwa na serikali akaja kupambana hapa kwa kumuona mzee baba kama unakumbuka hapo kati alikuja nchini na akafanya mazungumzo akaweka mambo sawa sasa amefanikisha hiyo biashara (Unganisha dots utamjua).
Kwa hiyo Mutembei ni Tanzanian citizen?
Je owners ni akina nani?
 
Nasubiri waje kukanusha. Wajiandae kuja na nyaraka zinazoonyesha kampuni tofauti na yenye uzoefu katika Sekta hii kama si Richmond nyingine
Mkuu mimi sijui kabisa kuhusu biashara ya korosho. Waweza nisaidia kujua ni kwa namna gani hapa kunaweza kuwa na utapeli wakati hawa jamaa wanalipa cash/upfront? Issue kama hiyo kampuni ina uzoefu na ununuzi wa korosho au kuna matatizo katika uhalali wa shareholders wake inatuhusu nini au itatuathiri vipi sisi kama wauzaji? Naomba shule kuhusu hayo mkuu
 
Hii ni zaidi ya aibu (if it is true) kwa jamuhuri kuingizwa mkenge mchana kweupee.
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wa Karume ni Fatma Karume na Mjukuu wa Karume ni Fatma Karume

Kwa maneno mengine: Mjukuu wa Fatma Karume, (ambaye ni mke wa marehemu Abeid Karume) ni Fatma Karume, ambaye ni mtoto wa Abeid Aman Karume..

Ninakubaliana nawe kwamba Ex Spy hapa kakosea, aliyefariki sio Alice Wanjiku Gatoho aliyeko kwenye hiyo kampuni, bali ni Alice Wanjiku Karanga ndie marehemu. Lakini hili haliondoi uhalali wa mengine aliyoyaweka katika mchango wake hapa.

Ninasikitika tu kwamba mjadala huu unaelekea kufifia na kuelekea kwenye 'archive'. Sina shaka kuna siku utaibuliwa huko na kurudi hapa ukumbini kama kielelezo cha yale tutakayokuwa tunayashuhudia baada ya biashara hii ya ajabu iliyofanyika wakati huu wa sasa. Na ninakubaliana na Ex Spy kwa kusikitikia upepo ulioikumba idara ya usalama katika majukumu yake ya siku hizi.

Nashukuru sana kuwasoma watu kama Ex Spy; Mkirindi; Bungua na wengine waliotoa somo tosha kabisa juu ya 'koroshow' hii.
 
Tz inaathirika vipi kama hiyo kampuni haina uzoefu au ni madalali? Sisi cha muhimu pesa imeingia mzigo ukatoka, tunataka sasa kuwa viranja wa matepeli duniani au wafanyabiashara?
 
Tz inaathirika vipi kama hiyo kampuni haina uzoefu au ni madalali? Sisi cha muhimu pesa imeingia mzigo ukatoka, tunataka sasa kuwa viranja wa matepeli duniani au wafanyabiashara?
Kama Biashara inafanyika Na yeyote(KANGOMBA/MATAPELI wakiwepo) kulikuwa Nashida gani kuwabana mwanzoni ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.
Huenda serikali ya tz haijafanya due dilligence nzuri. Kenya kuna Phd za utapeli na ufisadi. Singa wa iptl alitumika na hao phd kupiga dili la kuliza taifa kenya lakini akaja au kuletwa tz akatupiga iptl. Wakenya watatupokonya tena pesa nyingi kwa robbery wahusika na mauzo ya hizo korosho please vuteni pumzi kutafakari.
 
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.

Hapo kwenye kufa aliekufa ni wanjiku mwengine ila huyu wanjiku share holder yeye ni lawyer aliefungua shauri la kusimamia mirathi.
Hivyo hapo point yako sio kweli


Sent from my iPad using JamiiForums
 
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.
Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana

mkuu kulingana na maelezo ya kwenye picha aliyefariki sio Joyce hebu pitia tena kwa umakini post yako
 
Hiv
Unapoambia fundi seremala kawa mpishi wa Serena Hotel, mtu unaweza tilia mashaka chakula atakachopika.

Nimejaribu sana ku Gogle hiyo kampuni iliyonunua korosho na huyo kiongozi wao aliyetia saini na naibu Waziri, kidogo nimeingiwa na wasiwasi.

1. Kenya kuna kiwanda kimoja tuu cha kubangua korosho kinacho fanya kazi, na ni kidogo sana. Hakiwezi kubangua hata tani 1 kwa wiki.

2. Indo Power haina uzoefu wa biashara ya korosho, na pia haijulikani.

3. Duniani hakuna kiwanda chenye uwezo wa kubangua tani 1 laki . Labda wawe Raw Cashew Traders.

4. Kwanini leo wamenunua korosho kwa bei ya $1800/= kwa tani na hali bei ya korosho ulimwenguni ipo chini wastani qa $1300/= ( west Africa = $1300 - 1400/=, Indonesia $1209/=, India 1450/= ) na tusisahau bado kuna kodi ya 15% ya bei ya ununuzi, usafirishaji nk...

5. Waziri wa kilimo alikwenda UAE kwenye kongamani la korosho, wanunuzi wote wakubwa duniani alikutana nao, inasemekana walishindwana bei, na hakupata hata order ya tani moja.

6. Sasa huyu Bw. Brian Mutembei kweli atakuwa muokozi wetu na malaika, kama hii deal ni ya ukweli, huyu ndugu anastahili medali ya juu Tanzania. Hakuna mfanyibiashara anayeweza kujiingizia hasara, huyu ananunua Korosho yetu kwa $178,000,000, sio mchezo, lakini tuwe macho.

Mwenye kuijua hii kampuni atujuze
Hivi kuwa mchawi wa taifa lako unalipwa tsh ngapi haswa.. M
 
Back
Top Bottom