MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
Wakuu wameongea mengi hapo juu ya msingi, kuhusu suala la Palestina Wamarekani walimkaba Salim kwamba atakuwaje Katibu Mkuu wa UN wakati nchi yake iko partial kabisa katika mgogoro wa Palestina, kwamba Tanzania ilikuwa inaunga mkono kwa wazi kabisa PLO na haikuwa hata na uhusiano wa kibalozi na Israel, kwa hiyo hilo kama moja ya migogoro mikubwa kabisa, Marekani iliitumia turufu hii kumkataa Salim kwamba hatakuwa na credibility kwenye hili suala nyeti.
Salim alijaribu sana kujibu hili swali lakini hakuweza kuwa convincing enough, kwani issue ilikuwa wazi.
Wamarekani tu na interests zao. Mbona Marekani ina side na Israel wazi wazi? Wamarekani wao wali taka katibu mkuu atakaye serve interests zao or at least yule ambae asinge ingilie interests zao.
Kama Tanzania ingekua ina side na Israel ungeona jinsi Marekani wange msupport Salim na wala the issue of credibility would have never been a problem for them.