jacob bruno
Member
- Sep 29, 2020
- 8
- 7
Lakini Sasa Mimi Nina mwamini Sana Raisi wetu na sasa hatuna corona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata wao wanalitambua kama mchezo wa barakoaKwa ninamvyojua magu hiyo chanjo sidhani kama itakanyaga ardhi ya Tanzania
Ndugu, sijui uko upande gani wa dunia. Hivi unakumbuka BBC na radio za huko ulaya zimekua zikitangaza kuwa watu weusi na wahindi ndio waathirika wakubwa wa corona??Hivi unafikiri watanza kuchanja Afrika? Huku ni baadae kabisa na hawakusema itaanzia huku. Ulishawahi kupata chanjo ya flu wewe? Nadhani ndiyo mara yako ya kwanza kusikia kuwa watu wanachanjwa kwa ajili ya flu. Basi Ulaya na Marekani hiyo chajo ipo na watu, hasa wazee wamekuwa wanachanjwa kila mwaka. Of course kama mtu hayuko kwenye lile kundi la ''risk group'' kwenye ugonjwa na wa korona na hana sababu maalum itakayomfanya ahitaji chanjo, hana sababu ya kuchanja. Lakini elewa tu wenzako wanapigania watu wao na hii ya watu huku kwetu kuanza ''kuwaka'' ni kupoteza muda tu.
Kuna msemo unasemwa hivi,unaweza kuichukia Shari lakini kumbe kunakheri ndani yake na unaweza kuipend kheri lakini kumbe Shari ndani yake. Mambo la muhimu nakujiuliza mpaka sasa tumetumia chanjo gani? Tukipata jibu tutakua hatuna haja na chanjo Yao.Mbona hata wao wanalitambua kama mchezo wa barakoa
Umesema kweli ndugu yangu. KamaUgumu wa maisha, wingi wa mitishamba na vyakula vya asili ni chanjo iliyo bora kukabiliana na Covid-19 Afrika.
WHO watoe na vigezo vya kwanini chanjo ni lazima Afrika, la sivyo watakuwa ni mojawapo ya mawakala wa NWO.
Wazungu wafike mahala waheshimu utu wa watu wengine, huu unaweza kuwa ni ubaguzi mwingine wa rangi unaondaliwa kupukutisha waafrika karne ya 21-22.
Halafu wengine wanathubutu kusema ooh Tanzania hakuna uhuru wa vyombo vya habari, ooh Tanzania hakuna demokrasia na haki za binadamu, mara ooh JPM dikteta!!Sweden hawakulock down na hatujasikia wana vifo vingi vya kutisha. Wanasayansi HALISI wanahoji kuhusu ugonjwa huu, wanahoji kuhusu uvaaji wa barakoa kama kweli unazuia maambukizi.
Wananchi wa mji wa London na kwingineko wanaandamana kuhoji siasa za COVID 19. Habari zao hazitangazwi sana kunani?. Kalaga bao ndugu zangu wanaounga mkono siasa za COVID 19 na kuchanjwa.
Watu weusi wa wapi? Utakuwa ulisikiliza vibaya. Mbona takwimu ziko wazi hata uki-search unapata kila nchi ina wagonjwa waliogundulika wangapi na vifo vinavyojulikana ni vingapi? Labda wewe ulisikia walipokuwa wanasema wamarekani weusi (kitu ambacho ni kweli) huko USA waliathirika sana. Bila shaka utakuwa unasikiliza redio mbao.Ndugu, sijui uko upande gani wa dunia. Hivi unakumbuka BBC na radio za huko ulaya zimekua zikitangaza kuwa watu weusi na wahindi ndio waathirika wakubwa wa corona??
Onyesha niliposema ziko sawa! Naona unafanya conclusion za ukilaza kama Jiwe. Mr president I cannot reach you.... 🙄 🙄 !Hii chanjo ya Covid 19 ni mpya haiko sawa na hiyo ya flu. Acha kujifanya unajua wakati wewe ni utopolo tu!
Watu kama nyie ndiyo mnaifanya Afrika iwe jinsi ilivyo sasa hivi.FLU Vaccine kwa nini niijue?
We mwenyewe umesema ni chanjo ya wazee wa Ulaya na Marekani, inatuhusu nini huku Uyole Gulioni????
We don't use, know, much less care about flu vaccine taken in Europe and America. Tunatumia machungwa for mafua immunity, save me the grief, for the love of God!
Eti niidadisi niijue flu vaccine ya Wazee wa Ulaya.... hahahaaaaa
What is wrong with that??!Onyesha niliposema ziko sawa! Naona unafanya conclusion za ukilaza kama Jiwe. Mr president I cannot reach you.... 🙄 🙄 !
Labda ubaki Tz mileleYaani hata kwa mtutu wa bunduki, hachomwi mtu hiyo sindano ya chanjo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuumwa waumwe wao halafu chanjo tuchomwe sisi? Hakuna panya wa majaribio humu, hata sisi ni binadamu pia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama wanataka walete chanjo ya Ukimwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela wale wengine chanjo watunjanje maskini haiwezekaniAisee, ndio yalikuwa masharti hayo???!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mimi tutauana aisee, sichomi hayo madudu yao
Majaribio ya chanjo yanayofanyika ulaya na Marekani ni placebo tu, ila majaribio halisi huwa yanafanuika Afrika, tafuta maana ya neno placeboUnajihami bure tu. Chanjo inaanzia Ulaya na Marekani na Afrika itakuja baadae sana. Na hata ikija sidhani kama watalazimisha watu kuchoma. Kuchoma ni hiari. Ulaya na Marekani hii chanjo ni muhimu sana kwani population yao ina wazee wengi. BTW unaweza usiwe unajua kuwa Ulaya na Marekani kila mwaka watu wanapata chanjo ya flu! Yes, hii kitu kama hujatoka nje ya Afrika na siyo mdadisi huwezi kujua kuwa mafua kila mwaka yanaua watu kwenye hizo nchi na kila mwaka kunawaga na chanjo hasa kwa wazee! Hivyo jambo la chanjo siyo kitu kigeni kama unavyodhani na kama wewe hutaki hakuna atakayekulamisha.
😱😱 You didnt relize the broken english? You are Jiwe then!What is wrong with that??!
Si ndio hapo, umemjibu vizuri sana, kwani chanjo ya wazee wa ulaya inatuhusu nini hadi tuwajibike kuijua, to hell with it!! 😂😂😅FLU Vaccine kwa nini niijue?
We mwenyewe umesema ni chanjo ya wazee wa Ulaya na Marekani, inatuhusu nini huku Uyole Gulioni????
We don't use, know, much less care about flu vaccine taken in Europe and America. Tunatumia machungwa for mafua immunity, save me the grief, for the love of God!
Eti niidadisi niijue flu vaccine ya Wazee wa Ulaya.... hahahaaaaa
Broken english is not an issue for Africans. Only an idiot can mind about it. Even Mzungus they do speak broken english mkuu!😱😱 You didnt relize the broken english? You are Jiwe then!