Kwanini wazungu wakija Afrika wakioana wenyewe kwa wenyewe wanazaa mzungu badala ya kuzaa mweusi.Yes dark skin favors sunny latitudes while pale skin suits polar latitudes,mkuu unapokaa sehem kama ulaya mwanga ni hafifu so ngozi ina adopt mazingira ya kule wakat Africa au south America dark skin ina faa kutokana na jua kali na pia usalama wa mwili
To be more accurate it is a matter of survival of the skin tones and mutations. In the european areas there isnt as much sun and there is a different climate. Those that migrated from africa and those would have survived would have had to prefer lighter pigmentation and would have bread with the lighter pigmented people causing the who demographic to change.
To be more accurate it is a matter of survival of the skin tones and mutations. In the european areas there isnt as much sun and there is a different climate. Those that migrated from africa and those would have survived would have had to prefer lighter pigmentation and would have bread with the lighter pigmented people causing the who demographic to change.
Naona tatizo kubwa ni mtu mweupe kugundua dawa ya kubadili mtu mweusi kuwa mweupe sasa mweusi mpaka leo hii hawezi kubadili nyeupe kuwa nyeusi
Wazungu wanafiiki sana usiwaamini
maji ya Ray Kigosi sio ya kuyajaribuWapo zeruzeru weupe wanatisha kweli
Hilo tumbo ni nnWapo zeruzeru weupe wanatisha kweli
Sasa uumbaji kivipi? Si nasikia waliumbwa watu wawili tu hapo mwanzo ambao ni Adam na Eva sasa hizi rangi zilikujaje???Hakuna kilichokosewa hakuna kilichopungua ni style tu ya uumbaji, kumbuka kuna watu wa njano pia...uumbaji una variety nyingi sana kutegemeana na hali ya hewa ya mahali husika, kila kitu kiko kwenye mahesabu yaliyokusudiwa na kutosheleza.
Kumbuka hii si kwa binadamu bali hata wanyama na vitu vingine vyote kama chakula nyumba nguo nk nk
Kwanini tumuachie ? Atakuja kujibu saa ngapi? Na Kama kweli yupo mbona mpaka sasa hajasema chochote wakati anaona tunavyohangaika kujiuliza?Haya tumwachie mungu
Loh umeanzaSasa uumbaji kivipi? Si nasikia waliumbwa watu wawili tu hapo mwanzo ambao ni Adam na Eva sasa hizi rangi zilikujaje???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]maji ya Ray Kigosi sio ya kuyajaribu
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] nimeuliza tu ili nijue maana sielewiiiLoh umeanza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hilo tumbo ni nn
Waliumbwa wawili lakini leo duniani tuko karibia kabisa bilioni 7, ukipata chanzo cha hili ongezeko kutoka wawili mpaka bilioni saba utakuwa umepata na jibu hilo pia[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] nimeuliza tu ili nijue maana sielewiii
Hakuna kilichokosewa hakuna kilichopungua ni style tu ya uumbaji, kumbuka kuna watu wa njano pia...uumbaji una variety nyingi sana kutegemeana na hali ya hewa ya mahali husika, kila kitu kiko kwenye mahesabu yaliyokusudiwa na kutosheleza.
Kumbuka hii si kwa binadamu bali hata wanyama na vitu vingine vyote kama chakula nyumba nguo nk nk
Hapo bado hujajibu swali, mbona ukoo wetu pia walianza wawili lakini mpaka leo bado sijaona wakizaliwa ndugu wazungu, wachina au wahindi bila kuchanganya damu??Waliumbwa wawili lakini leo duniani tuko karibia kabisa bilioni 7, ukipata chanzo cha hili ongezeko kutoka waliwi mpaka bilioni saba utakuwa umepata na jibu hilo pia
Nionyeshe huyo mzungu aliyesema hivyo na werevu wakoMzungu ndiyo amekwambia kwamba kuna watu wa njano na wewe kwa ujinga wako unakubali!
Jimena unataka kufananisha kikombe na pipa? Kwanza leo ni siku ya kuchill sitaki kabisa kuumiza kichwa...Leo ngoja niipe nafsi ile kitu napenda....tuonane jumataatuuuuuuuHapo bado hujajibu swali, mbona ukoo wetu pia walianza wawili lakini mpaka leo bado sijaona wakizaliwa ndugu wazungu, wachina au wahindi bila kuchanganya damu??
Acha utani mshana hebu nijibu basiii[emoji134]
Karne hii,na umasikini huu bado tuna muda na akili za kufikiria haya ??? Then tunalalamika kwa nn hatuendelei ??Kuna wazungu husema wanapenda rangi nyeusi, je ni kweli wameshindwa kutengeneza mkorogo wakawa weusi na wao au tayari wametengeneza ila hawajaanza kutumia au tayari kuna waliowahi kutumia.
????