Mkuu usituletee humu mrejesho ukilialia umegongewa na bodaboda na wabeba zege.Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Dah Sina jinsi acha aauze tu ilimradintu asilete magonjwaMkuu usituletee humu mrejesho ukilialia umegongewa na bodaboda na wabeba zege.
Vipi wee una maisha mepesi snaa nn unafanya Kaz gani ya kuingiza pesaWalimu mnamaisha magumu sana kwa kweli
Mkeo anapenda maendeleo🤗Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Acha aauze tu hkn namna nimenyoosha mikono juu usiombe yakukuteKizaizai
Huko nako balaa pia!Piga marufuku haraka iwezekanavyo, watamfanya kitafunwa
Bora angekuwa na ofisi
Wako hapendi nnMkeo anapenda maendeleo🤗
Omba yasikukute haya mkuuPole mkuu
Sasa nimpeleke wapi ,mkuu akibaki home msala akienda ofc hakufai Kaz gani hatapigwaHuko nako balaa pia!
Sasa nimpeleke wapi ,mkuu akibaki home msala akienda ofc hakufai Kaz gani hataHuko nako balaa pia!
Ni ngumu maana mteja hana nguvu, hajataftwa kaja mwenyewe, hii ya kufuata wateja mbaya sana.Huko nako balaa pia!
Kuna mchanganyiko wanajeshi na raiwa kawaidaAnauzia mitaa gani mkuu, nataka nikushauri kulingana na nature ya mtaa husika ulivyo
Andaaa bajet ya vipimo vya DNAMm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Piga chini akauze jwisi kijijini kwaoSijui nimfukuze tu
Aisee very risk Sasa sijui nimpe bisnes gani hata ya one m akauzeNi ngumu maana mteja hana nguvu, hajataftwa kaja mwenyewe, hii ya kufuata wateja mbaya sana.
🤣🤣🤣🤣 Mkuu nimecheka snaAndaaa bajet ya vipimo vya DNA
Yes Kama atabisha hili Basi namfukuza arudi kwenu Tena huyu mke wangu Ni wa Huko kwenu simiyuPiga chini akauze jwisi kijijini kwao
🤣🤣🤣🤣🤣We muache apitiwe na wazee wa kubakisha chenchiiii hawana adabu na wake za watu hata kidogo