Saidingonzi
Member
- Jul 28, 2023
- 18
- 11
Again once a whore always a whore…so ww mwache atakuja kukuuliza siku moja mme wang waonaje na biashara ww usimwambie harsh mpe hongeraPiga marufuku haraka iwezekanavyo, watamfanya kitafunwa
Bora angekuwa na ofisi
Non sense..hii haiwezekanai kama yeye kaamua ujue kaishawaza chagamoto ndogo ndogo kama hizi..kwa hiyo haitakuwa shida kwake maana alishachunguza challengeMkataze au jiandae kutombewa tu.
Nadhani jibu n chanya na sio asiKuna wanawake wengi wafanyabiashara ndogo ndogo wanajiheshimu sana kama hapend uhuni hata uwe na ushawishi kiasi Gani huwez kumla na Kuna wanawake hawajiheshimu hata umfungie ndani watamla tu akiwa humo humo ndani.
Sijui mke wako Yuko kundi Gani kati ya hayo
NakaziaMuachie tu tena ili mkuze biashara na wewe beba baadhi ya madumu ukauzie hapo shule kazini kwako.
Ikibakia, jioni na wewe unaingia street kutafuta wateja.
Baba ako ameoa ndoo maana umezaliwa wee likudMsiwege mnaoa
Wako VIP anafanya Kaz gani ,au Yuko serkalini mtumba huku🤣🤣Umenikumbusha mwaka jana tulienda kufanya kazi timu ya Wahasibu Waandamizi. Dada mzuri muuza juice akawa kapata wateja. Wotee 4 tukajikuta tuna namba na kila mtu anaimbisha kwa wakati wake. Fikiria kama ni mkeo atawakataa wote hao?
maana gani weweAgain once a whore always a whore…so ww mwache atakuja kukuuliza siku moja mme wang waonaje na biashara ww usimwambie harsh mpe hongera
Mbna jamaa wa garage hawna pesa ,lzma uwe na pesa ndio umalale mke wangu SAS kafundi garage Ana nn Cha ziadaHao wauza juice na Yale mabando uwa wanakanyagwa sana na jamaa wa garage
Sasa nifanyeje mkuuKwa kipato Chako mwalimu ukitaka kudhalaulika na mkeo basi we endelea kumluhusu atembeze hizo juis.
Kuna siku utarudi kutoa ushuhuda
Kwani mada ya mke wangu au mke wako? Usibadili mada mwalimu subiri tukuelezeWako VIP anafanya Kaz gani ,au Yuko serkalini mtumba huku🤣🤣
Sasa ulicho changia hapo n nnKwani mada ya mke wangu au mke wako? Usibadili mada mwalimu subiri tukueleze
Juice kavuInategemea anauza juisi na kitafunwa gani, sambusa nyama au sambusa viazi. Ni wewe tu.
Umeseam umewnda kufanya ukaguz na timu ya waahasibu KishaKwani mada ya mke wangu au mke wako? Usibadili mada mwalimu subiri tukueleze