Yaani nchi isisimke sababu ya maupumbafu pliz tupeni breki!!!Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
nimetulia..mkuu........
......we tulia
Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.
Swissme
Hahahah..ndio maana magufuli aliwaambia Bado watoto wanahitaji kuendelea kulelewaWakija kwenu mnashangilia kweli kweli, wakianza kurudi walikotoka mnalalamika kuwa kuna mpango wa kuuwa upinzani. Siasa za bongo ukiwa mtazamaji ni burudani tosha.
Amna shida mwakani ata kuja mkapa!!angesubiri mwakani/karibia na uchaguzi kama ni president material kama ilivyo kuwa kwa Ngoyai ingeleta amsha amsha zaidi
Mange kimambi yupo A town!Nani huyo.........?....
Hawana lolote zaidi ya ku pre-emptNaye kanunuliwa?
Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.
Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.
Same ‘ol bullshit.
Naye kanunuliwa?
Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.
Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.
Same ‘ol bullshit.
Ok......
.....kama sisimizi
....Kama vile namuona le mutuz linavyojamba na shogaake bashite yalivyokumbatiana.
.....nimetulia..mkuu.
......Uyu kikwete atakua asee...sio kwa kuumia kule