Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Yaani nchi isisimke sababu ya maupumbafu pliz tupeni breki!!!
 
Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.



Swissme

Nani huyo.........?....
 
Nchi kutikisika?? For real? Labda Magufuli anahama. Lets wait and see...
 
Wakija kwenu mnashangilia kweli kweli, wakianza kurudi walikotoka mnalalamika kuwa kuna mpango wa kuuwa upinzani. Siasa za bongo ukiwa mtazamaji ni burudani tosha.
Hahahah..ndio maana magufuli aliwaambia Bado watoto wanahitaji kuendelea kulelewa
 
Mtu pekee wa kutikisa nchi akihama chama ni JK
 
please chadema, msipokee mtu yeyote toka ccm...please and please tuliopo tunatosha kukijenga chama tunatosha kabisa...
 
angesubiri mwakani/karibia na uchaguzi kama ni president material kama ilivyo kuwa kwa Ngoyai ingeleta amsha amsha zaidi
Amna shida mwakani ata kuja mkapa!!
 
Wahame hame tuuu mm hawajawai kutusaidia lolotee..Wananuliwe na wapewe hela tuuu...
 
Naye kanunuliwa?

Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.

Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.

Same ‘ol bullshit.
Hawana lolote zaidi ya ku pre-empt
 
Naye kanunuliwa?

Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.

Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.

Same ‘ol bullshit.

Mzee kumbe ulimwamini Lema kwa kauli ile.
 
Back
Top Bottom