IBARA YA 149 (1) c YA KATIBA YA TANZANIA;
Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na katiba hii.
" ... Ataweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo:-
C) Iwapo mtu huyo Ni SPIKA au NAIBU SPIKA wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ATAIWASILISHA kwenye BUNGE.,
Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na katiba hii.
" ... Ataweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo:-
C) Iwapo mtu huyo Ni SPIKA au NAIBU SPIKA wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ATAIWASILISHA kwenye BUNGE.,