Hahahahaha haka kaharufu kalianza kunukia tangu alipotangaza kutogombea, harufu ikaongezeka alipoingia bungeni na kuchaguliwa kiongozi wa kub.Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS.
Bila kumsahau Ze malcopoll na nduguyake wa dam LizabonWalikuwepo pia akina malaria sugu,ritz,the jihadist faizafoxy na wote wamekimbia
Ahahahah ahahahah hiyo hapo chini ndo lugha ya Kitaalam?Yaan hata uwenyekiti wa mtaa hawezi kupata walishamchoka na akasoma alama za nyakati ndio maana alifikia hayo mahamuzi, labda "ASINDULE EBIKONYA"
Mtoe Wenje hapo tunza kumbukumbuMkuu unajiaibisha? Mzee Lowassa alipokuwa Mgombea Urais wenu baada ya siku mbili tangu ajiunge alikuwa mpigania Chadema? Cecil Mwambe, Kallanga, Wenje, Dk. Mollel, Ole Millya, kutaja wachache nani kati yao alikipigania chama kabla ya kuzawadiwa ubunge? Dogo vipi? Au sifa yenu ya unyumbu ya kusahausahau ndio inakusumbua?
Kamanda wangu wenje general nimepambana nae kitambo sana atakua kavurugwa huyo hata ole milya tulikua nae kitambo sana ndani ya chama sema umasikini tu ndo umemponza kama chapombe waitaraMtoe Wenje hapo tunza kumbukumbu
Kwanini? Hujui kuwa mpaka kipindi cha maoni CCM 2010 Wenje alikuwa Kiongozi wa CCM hapa Mwanza? Hujui kuwa chanzo cha yeye kwenda Chadema ilikuwa ni kumkimbia Masha kwenye kura za maoni? Weka kumbukumbu yako vizuri.Mtoe Wenje hapo tunza kumbukumbu
Mbunge wa maana bukoba alkua Hamis kagasheki.Miaka Mitano stendi kuu ilimshinda!!
Hiv bukoba wasomi wote hao kunakosekana mtu wa kugombea ubungo na kuijenga bukoba?
Bora hata malinzi alikumbuka nyumbani akajenga uwanja wa mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wewe kama hujui kitu in vizuri ukauliza wanaojua wakuelekeze wenje yupo chadema kitambo sana aliwahi kuwepo ccm kweli ila in kitambo kidogo kama sikosei 1999 alijiondoa mafisiem kwamana hiyo huyu sio kizazi cha wasiojulikanaKwanini? Hujui kuwa mpaka kipindi cha maoni CCM 2010 Wenje alikuwa Kiongozi wa CCM hapa Mwanza? Hujui kuwa chanzo cha yeye kwenda Chadema ilikuwa ni kumkimbia Masha kwenye kura za maoni? Weka kumbukumbu yako vizuri.
Mkuu unamjua Wenje vizuri au unajimwambafai tu?Acha uongo wewe kama hujui kitu in vizuri ukauliza wanaojua wakuelekeze wenje yupo chadema kitambo sana aliwahi kuwepo ccm kweli ila in kitambo kidogo kama sikosei 1999 alijiondoa mafisiem kwamana hiyo huyu sio kizazi cha wasiojulikana
Ezekiel dibogo wenje namfahamu vizuri sana kuliko uzaniavyo mpaka kwake pale busweru kitongoji cha bulola A upo hapoMkuu unamjua Wenje vizuri au unajimwambafai tu?
Basi sawa. Hata alipokuwa anafundisha Thaqaafa Sekondai 2003 - 2005 alikuwa CCM. Na ujue mpaka 2009 akiwa mbele yangu chuoni SAUT alikuwa CCM. Na alipokiwa anafanya kazi Barclay's Bank pale Ghorofa la Kishimba alikuwa CCM. Ukionana naye muulize.Ezekiel dibogo wenje namfahamu vizuri sana kuliko uzaniavyo mpaka kwake pale busweru kitongoji cha bulola A upo hapo
Unazidisha uongo huyu baada ya kumaliza chuo alikua mwalim tena hed master huko ilemelaBasi sawa. Hata alipokuwa anafundisha Thaqaafa Sekondai 2003 - 2005 alikuwa CCM. Na ujue mpaka 2009 akiwa mbele yangu chuoni SAUT alikuwa CCM. Na alipokiwa anafanya kazi Barclay's Bank pale Ghorofa la Kishimba alikuwa CCM. Ukionana naye muulize.
I feel you broTuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Alitokea Thaqaafa Sekondari alipokuwa anafundisha pamoja na Mwl. Mawazo (RIP) kwenda kuwa Headmaster Hill Crest Sekondari ilipofunguliwa.Unazidisha uongo huyu baada ya kumaliza chuo alikua mwalim tena hed master huko ilemela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatetea wenzako wanaharibuTulimwambia hapa walikuwepo akina Lizaboni ccm iliwashinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kutwanga maji KWENYE kinuHahahaa ulishawahi kubeba gunia la misumari ya nchi mbili?
Huyo ndio wenje kumbe wamjua vizuri tu MPE habali mabula mwambie arudi kazini kwake kwa yule mhindi wa luchelele wanamwita Giji alikokua anafanya kibalua cha kufagia HotelAlitokea Thaqaafa Sekondari alipokuwa anafundisha pamoja na Mwl. Mawazo (RIP) kwenda kuwa Headmaster Hill Crest Sekondari ilipofunguliwa.
Mabula alikuwa anafanya kazi ya Ulinzi (Security Guard). Nikikutana naye, nitamshauri asitumie vihela vyake kwenye ubunge. Bahati haiji mara mbili.Huyo ndio wenje kumbe wamjua vizuri tu MPE habali mabula mwambie arudi kazini kwake kwa yule mhindi wa luchelele wanamwita Giji alikokua anafanya kibalua cha kufagia Hotel