TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

No Way, Aisee.

Daaaah

Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi + Deep Down Alikua Ana Utu Sanaaa.

Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years In Experience At Downtown New York Mbelezzz.

What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.

Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.

Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
Ni kawaida bongo ukifa unageuka malaika
 
.
IMG-20230514-WA0001.jpg
 
Jitahidi uwe na hekima, hiki ulichoandika sio sawa na ni kufuru sana. Jitahidi uwe na utu maana nawe upo safarini. Moderator angalia hii. Sio sawa na sio utu kuruhusu comment kama hii Invisible , Paw Maxence Melo futeni hii comment.
Upo sawa ila wafute na yako maana ameuquote huo upumbavu ulioandikwa sasa umenata kwenye ujumbe wako.

APUMZIKE KWA AMANI
 
Back
Top Bottom