William Ruto avunja Baraza la Mawaziri Kenya

William Ruto avunja Baraza la Mawaziri Kenya

I can't Imagine Kithure Kindiki with all the braggadocious and innuendos atatamba wapi tena??

Angejifunza kwa Matiang'i power is transient and the majority will can't be subverted.
 
Huku kwetu vijana wako busy na kubeti, kujadili nyimbo za diamond, mijadala ya Simba na Yanga na kupush # za mama anaupiga mwingi. Wa Tz ni marehemu wanaotembea. Acha maisha yatucharaze kmmke zetu!
Mnawalaumu vijana WA Tanzania Kwa muktadha upi?
1. Kwamba waige ya vijana WA Kenya
AU
2. Waandamane kuwaridhisha wapinzani...?

Dhihaka nyingi Kwa vijana WA nchi hii zimezidi...Sisi kwetu kuna Mambo yanayotufanya tusiandamane.

a) tunashiba Kenya kuna njaa.
b) kuna ajira za serikali Kenya ajira ni za mchongo.
c) upinzani WA wakenya ni VERY STRONG ukilinganisha na huu WA Mzee Mbowe.
d) Amani ya nchi yetu inatufanya tudhani hatuna shida.(Ila shida zipo)

So we are ok with it....tufanye KAZI Sana Kwa SASA tutafute hela na tuzae watoto wengi watakaoteseka mpaka waamue kuandamana.
 
Breaking news

Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya

Citizen TV

======


Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.

Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.

“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”

Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
Wakenya sio mchezo wakiamua lao..
Wakenya wako vizuri sana kuiwajibisha serikali.Goja niende uhamiaji nikaombe passport ili nihamie Kenya niwaache watz na uoga wao wa kutokudai haki.
Uzoefu duniani kote unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa kitu chochote kile pale wanapoamua jambo lao.
 
Breaking news

Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya

Citizen TV

======


Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.

Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.

“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”

Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
ATaendelea kuwaita wahuni? Su atawaita genZ
 
Breaking news

Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya

Citizen TV

======


Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.

Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.

“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”

Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
Ruto anazidi kuonyesha udhaifu akiteua siku tatu zija!o vijana watasema wanataka mambo mengine!
 
Back
Top Bottom