peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
"Ruto must go"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uongo wewe siyo chawa tu?Kauli za Kibwege sana hizo
Uamshwe na nini. Ndege wa alfajiri, adhana au magitaa ya makanisani kipindi cha morning glory, au makelele ya club??The power of Generation Z watanzania tuamkee.
Si afadhali Ruto ameshtuka na kuchukua hatua huko bongo hilo baraza la Samia unaona lina hali nzuri??Ruto hajiulizi Sisi alifanyiwa nini na vijana?
Hajiulizi Burkina Faso vijana wamefanya nini?
Hajiulizi jirani zake Sudan,vijana wamefanya nini?
Nadhani anakumbika shuka kumekucha.
Mnawalaumu vijana WA Tanzania Kwa muktadha upi?Huku kwetu vijana wako busy na kubeti, kujadili nyimbo za diamond, mijadala ya Simba na Yanga na kupush # za mama anaupiga mwingi. Wa Tz ni marehemu wanaotembea. Acha maisha yatucharaze kmmke zetu!
Breaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.
“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”
Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
Wakenya sio mchezo wakiamua lao..
Uzoefu duniani kote unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa kitu chochote kile pale wanapoamua jambo lao.Wakenya wako vizuri sana kuiwajibisha serikali.Goja niende uhamiaji nikaombe passport ili nihamie Kenya niwaache watz na uoga wao wa kutokudai haki.
Kuna watu katika baraza letu wanayamba huko waliko hamna lolote wanalolifanya na sisi Mungu atatuona tu sie wote ni waja wakeSi afadhali Ruto ameshtuka na kuchukua hatua huko bongo hilo baraza la Samia unaona lina hali nzuri??
Nimepokea…. I receiveKwani uongo wewe siyo chawa tu?
Vyote Sawa mkuuUamshwe na nini. Ndege wa alfajiri, adhana au magitaa ya makanisani kipindi cha morning glory, au makelele ya club??
amka wakutufue..😂The power of Generation Z watanzania tuamkee.
ATaendelea kuwaita wahuni? Su atawaita genZBreaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.
“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”
Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
Ruto anazidi kuonyesha udhaifu akiteua siku tatu zija!o vijana watasema wanataka mambo mengine!Breaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.
“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”
Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni