Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Siyo kwa tanzagizaAlaah Kumbe inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwa tanzagizaAlaah Kumbe inawezekana
Mkijaribu kuamka kutoka usingizini, mnarudishwa kwenye usingizi wa milele, tanzania ni sugar coated ya north korea.The power of Generation Z watanzania tuamkee.
kesho tunaanza wapi mgomo..
Kenya usiifananishe na Tanzania, kuuwana kisiasa hawjaanza leo wala jana.Si afadhali Ruto ameshtuka na kuchukua hatua huko bongo hilo baraza la Samia unaona lina hali nzuri??
Pinga kwa hoja, siyo matusi!Kauli za Kibwege sana hizo
Tupo live hapa citizen Tv, mawazo ya wakenya ni safi sana. Sisi huku kichwani tu hatuna kituKenya usiifananishe na Tanzania, kuuwana kisiasa hawjaanza leo wala jana.
Umesahau Kikwete alivyokwenda kuwapagtanisha? Au bado ulikuwa kinda tunduni?
Si waliruhusu bangi hadharani, ndio madhara yake haya!!Kenya wahuni ni wengi
Hapana. Ruto kachukuwa hatua nzuri sana. Hata kabla ya kuvunja baraza alichukuwa hatua za kubana matumizi eg kupunguza safari, ununuzí wa magari mapya nk. Thread iko hapa.Gen z wanataka Serikali ipunguze matumizi Ili pesa hizo ziende kutengeneza ajira.
Ruto anavunja Baraza Ili awakaribishe WAPINZANI Ili washirikiane kula,
Sasa hapo ni lugha gongana.
Si waliruhusu bangi hadharani, ndio madhara yake haya!!
Mkumbushe bibi yako kabla hakujakucha, haya hutokea kama mwivi ajapo kwako.Ruto hajiulizi Sisi alifanyiwa nini na vijana?
Hajiulizi Burkina Faso vijana wamefanya nini?
Hajiulizi jirani zake Sudan,vijana wamefanya nini?
Nadhani anakumbika shuka kumekucha.
MUNGU WANGU NA BABA YANGU!!!Breaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko hayo siku ya Alhamisi Julai 11, Ruto alisema kuwa ni Naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu wa Barza la Mawaziri Musalia Mudavadi wa wizara ya Mambo ya Nje pekee wanaosalia.
“Baada ya kutafakari na kuwasikiliza kwa makini Wakenya na baada ya kutathmini Baraza langu la Mawaziri, leo nimeamua kuwafuta kazi mawaziri wote,” Ruto alisema, “lakini Naibu wangu na Waziri Mkuu hawajaathirika.”
Pia, soma=> Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni
Kwa haya mawazo wacha CCm itawale tuMUNGU WANGU NA BABA YANGU!!!
NAZIWEKA NCHI YA KENYA KWENYE KIGANJA CHA MKONO WAKO!!!
NAOMBA BABA, UKAWA LINDE, UKAWA HIFADHI, KWA MAANA FADHILI ZAKO NI ZA MILELE!!!
BABA, NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU AKAMUONGOZE KATIKA KAZI YAKE YA KUNIONGOZA NCHI!!!
NAOMBA TOBA KWA AJILI YA RAIS RUTO PAMOJA NA UONGOZI WOTE ULIOPITA!!!
NAOMBA TOBA KWA AJILI YA VIJANA WA GEN "Z".
BABA MUNGU IBARIKI KENYA NA WATU WAKE!!!
NINAIFUNIKA NCHI YA KENYA KWA DAMU YENYE THAMANI NYINGI NA YA AJABU YA BWANA WETU YESU KRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI.
AMINA NA AMINA 🙏🙌💖
Tanzania hawauwawi watu??Kenya usiifananishe na Tanzania, kuuwana kisiasa hawjaanza leo wala jana.
Kibaki alipopoteza referendum 2005 ilikuwa ni obvious watu hawana imani naye , yaliyotokea 2007 ni aina ya ushenzi wa viongozi wa kiafrika kulazimisha kutawala Kibaki hakushinda ule uchaguzi badala yake alitumia state machineries ilikuwa kituko nakumbuka tukio la kujiapisha alivyomleta jaji chap chap.Umesahau Kikwete alivyokwenda kuwapagtanisha? Au bado ulikuwa kinda tunduni?