Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Povu lote hili mkuu..!!Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia HOTUBA ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
NdioHii ulioleta ndio Hotuba yenyewe?
KAZI ni kipimo cha UTU
Achana na Ruto, ongelea hapa bongo.Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
Yaana kichwani empty kabisajamaa lacks emotional intelligence...ni full ubabee...gen z lazima wampeleke putaa
Sipo bongo Mimivongelea wewe uliopoAchana na Ruto, ongelea hapa bongo.
Itakua hujui English mzee jaribu kurudi shuleMimi niko hapa CITIZEN TV LIVE naangalia mbona anajibu maswali vizuri tu.
Sema usiogope mwamba!Kenya Kuna zakayo mtoza ushuru, Uganda Kuna nguruwe pori, Rwanda Kuna ngamia wa kisukuma huku tuna chura kiziwi
Hebu wewe tuwekee maswali aliyojibu ndivyo sivyo.Itakua hujui English mzee jaribu kurudi shule
Nisogope nini¿ kwenda katavi au kuuzwa hapa Jf wakati nimetoka motoniSema usiogope mwamba!
Sina huo mdaHebu wewe tuwekee maswali aliyojibu ndivyo sivyo.