William ruto raisi wa Kenya ametonesha vidonda vya Gen Z

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
 
Povu lote hili mkuu..!!
 
Kwann hili swala usiachiee muda utaongeaa zaidi kuliko cc tukiongea sanaaa mkuu
 
Achana na Ruto, ongelea hapa bongo.
 
Mimi niko hapa CITIZEN TV LIVE naangalia mbona anajibu maswali vizuri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…