imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wamembana kwenye Issue ya Police Brutality amejibu vizuri tu.Sina huo mda
Acha Porojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamembana kwenye Issue ya Police Brutality amejibu vizuri tu.Sina huo mda
Hujui lugha Rudi shuleWamembana kwenye Issue ya Police Brutality amejibu vizuri tu.
Acha Porojo.
Nilimuona anatoa hotuba, jamaa ana ukaidi flani wa kijinga hata ukimtizama usoni.jamaa lacks emotional intelligence...ni full ubabee...gen z lazima wampeleke putaa
Kasema yule Mbunge hajatekwa ila kakamatwa na Polisi.Hujui lugha Rudi shule
Jinga kweli wewe hivi hata hotuba yake umeangalia kweli yangu mwanzo na lugha nahisi inakupiga chengaKasema yule Mbunge hajatekwa ila kakamatwa na Polisi.
Kama wewe ni mtanzania Kaa kimya. Maana huku Kuna hi prevalence ya watu kutekwa na kuuliwa wengine wakiokotwa kwenye mapori huko lakini watu kimyaaHabari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
Huenda akakwambia 'Bongo' hakuna shida, ndiyo maana "maiti" hazijisumbui!Achana na Ruto, ongelea hapa bongo.
Wewe umechukua hatua gani au unataka wanaume ndio waongee wewe ukiwa umejifunika shukaKama wewe ni mtanzania Kaa kimya. Maana huku Kuna hi prevalence ya watu kutekwa na kuuliwa wengine wakiokotwa kwenye mapori huko lakini watu kimyaa
Jinga kweli wewe hivi hata hotuba yake umeangalia kweli yangu mwanzo na lugha nahisi inakupiga chenga
Lugha hujui unaangalia ishara ya macho ndio maana unaleta kijambio na kubisha Rudi shule
Kwahiyo muheshiniwa akasepaHabari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
Hajaongelea askari walioua innocent citizens?Na pia kaahidi kuwakamata waliohusika na uharibifu wa mali za umma, amesema hayo akiwa Kanisani leo au jana, kwa hiyo ili asiwakamate, watahakikisha wanamuondoa
Naona niishie hapa.Lugha hujui unaangalia ishara ya macho ndio maana unaleta kijambio na kubisha Rudi shule
Basi haya ya kenya ungeyaongrlea kwenye platform za kenya huko ama huko ulipo.Sipo bongo Mimivongelea wewe uliopo
Boya wewe wapi pameandikwa hili jukwaa la tanzania halafu usipangie wanaume Cha kuandika inaonesha huna marindaBasi haya ya kenya ungeyaongrlea kwenye platform za kenya huko ama huko ulipo.
Tafta mume uolewe binti acha kufuatilia waume za watu. Mke wangu ana wivu sana atakuua akisikia unanilazimisha nikushikishe ukuta.Boya wewe wapi pameandikwa hili jukwaa la tanzania halafu usipangie wanaume Cha kuandika inaonesha huna marinda
Emotions intelligence ni kubwa zaidi iq naonaga watu wanakazania.eti iq Ila eq is far most important than uwezo, yaani inatakiwa ujue kucheza na feelings za watu , moyo unaendesha mwili kuliko kichwajamaa lacks emotional intelligence...ni full ubabee...gen z lazima wampeleke putaa