William ruto raisi wa Kenya ametonesha vidonda vya Gen Z

William ruto raisi wa Kenya ametonesha vidonda vya Gen Z

Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
Kama wewe ni mtanzania Kaa kimya. Maana huku Kuna hi prevalence ya watu kutekwa na kuuliwa wengine wakiokotwa kwenye mapori huko lakini watu kimyaa
 
China ameweka hela mingi hapo halafu jamaa anajitoa akili, halafu anakuwa mshirika wa NATO katikati ya vita ya Russia na ukraine, hajajifunza west africa, mapinduzi yote yako engineered na Russia kupitia kampuni lao la kijeshi.

Hata MK ya South Africa, its a russian project, Ramaphisa kanusurika kuondolewa coz he is oro west, and Zuma alikuwa Pro Brics
 
Kama wewe ni mtanzania Kaa kimya. Maana huku Kuna hi prevalence ya watu kutekwa na kuuliwa wengine wakiokotwa kwenye mapori huko lakini watu kimyaa
Wewe umechukua hatua gani au unataka wanaume ndio waongee wewe ukiwa umejifunika shuka
 
Jinga kweli wewe hivi hata hotuba yake umeangalia kweli yangu mwanzo na lugha nahisi inakupiga chenga
20240630_190455.jpg

👆
Tuliza mshono Dogo.
 
Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine halafu anawatukana kwamba wamemsababishia hasara ya billion 2.5 yaani wewe raisi umewekwa tu hapo raia wanalipa Kodi unasema wamekusababishia hasara najiuliza Kenya walimchaguaje raisi mjinga kama huyu naweza kusema jamaa hafai kua raisi anashindwa hata kuona kama raia wake wanakufa Kwa ujinga wake huyu jamaa anaenda kuchomolewa hapo ndani ya hii wiki ya kama Ngoma unaanza jumanne
Kwahiyo muheshiniwa akasepa
 
Ruto tayari ana mnyororo wa ICC miguuni. Isingekuwa hivyo, Kenya wakati huu kungekuwa kunawaka moto.
 
Na pia kaahidi kuwakamata waliohusika na uharibifu wa mali za umma, amesema hayo akiwa Kanisani leo au jana, kwa hiyo ili asiwakamate, watahakikisha wanamuondoa
Hajaongelea askari walioua innocent citizens?
 
Back
Top Bottom