Wimbi kubwa la vijana wasomi 20's kujitoa uhai, nini maoni yako?

Infantry umeenda age sana, kumbe unshakula shavu, hongera sana kwa kupewa kitengo
 
Ingekuwa nchi za G8 wangefanya tafiti, huku ni Africa hata wakiisha, wapya watazaliwa.
Dharau za ndugu na jamaa ni Bora za rafiki, usipokuwa na imani kujiua sio suala gumu.
Mbaya zaidi Kiongozi wa dini hajui Psychological problems...yeye anajua unafanya makusudi kijana unapofanya dhambi hasa ya kujiua. Serikali isomeshe raia elimu hii ya Psychology la sivyo! Na haya maisha yalivyonyonga Cjui!
Mliotokea familia za kisomi na wenye upendo hasa kipindi kigumu cha maisha, wakakulea bila dharau mnapaswa kushukuru sana maana familia zetu kitaa Wazazi huanza kukudharau as if Ulijizaa.
 
Uliwekeza kwenye shughuli ipi Mkuu?
 
Labda kuanzishwe madarasa ya Saikolojia huko kwenye vyuo wanavyosoma, licha ya kusoma fani zao lakini pia wapitie darasa la saikolojia na stress management huenda ikapunguza hili tatizo.
 
Ulikuwa unafanya biashara gani kwa mtaji wa laki tano Mkuu.Mkoa gani ?Chuoni ulisoma nini Mkuu??
 

Tena kama mwanamke kuolewa hujaolewa kazi huna hizo dharau zake unaweza jinyonga.
 
Tatizo Chadema wanawatesa hao vijana kwa kuwaambia uwongo

Shauri yao baada ya October wachimba makaburi watatajirika sana
mkuu shikamoo, wanawaambia nini, naona una kunywa balimi hapo maana huu mwandiko una mashaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…