Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kha!kha!kha!,alikufariji???alie lala kwenye reli ndo alinifarij
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!kha!kha!,alikufariji???alie lala kwenye reli ndo alinifarij
Yaani we acha tu,inasikitisha sana.Daaah, sad indeed...!!!!
mm mwenyewe huwa nafikiriaga ivo sometime.mbona umestukaaKha!kha!kha!,alikufariji???
bora niumweNI wiki iliyopita kuna kijana alijinyonga ma jana naskia mwingine tayari, Mwaka jana kuna aliyejitupa ghorofa ya supermarket. Hao wote walikuwa wasomi wenye miaka ya ishirini na kitu wakidai wana stress.
Hili wimbi pengine linaweza kuwa kubwa sana tusipojiangalia.
Mchango wako ni wa muhimu
Khaaa!!!Mimi sikushauri mkuu,km kuna tatizo linalokusumbua njoo PM tuzungumze,sitaki kukupotezamm mwenyewe huwa nafikiriaga ivo sometime.mbona umestukaa
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.” ~ Malcolm XFanya maamuzi tarehe 28
DefinitelyNobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.” ~ Malcolm X
"Be peaceful, be courteous, obey the law, respect everyone but if someone puts his hand on you, send him to the cemetery." ~ Malcolm XDefinitely
Maisha tu hayaeleweki lakini wengine wanatusua kimazabe.Khaaa!!!Mimi sikushauri mkuu,km kuna tatizo linalokusumbua njoo PM tuzungumze,sitaki kukupoteza
maisha tu hayaeleweke lakin wengine wanatusua kimazabeKhaaa!!!Mimi sikushauri mkuu,km kuna tatizo linalokusumbua njoo PM tuzungumze,sitaki kukupoteza
Kama chakula unapata na sehemu ya kulala unayo we vumilia tu Kuna siku upenyo utapatikanaiyo imekaa vizur tufanye nawahi tu sasa
ni ndoto za kununua water bed bado sijala wa kulala ninaptakaKama chakula unapata na sehemu ya kulala unayo we vumilia tu Kuna siku upenyo utapatikana
Na usiombe moja Kati ya ndugu uliozaliwa nao awe amepatia kidogo maisha!Wewe hata ukitaka kushauri Jambo la kifamilia utasikia ameanza Vurugu zake.Ingekuwa nchi za G8 wangefanya tafiti, huku ni Africa hata wakiisha, wapya watazaliwa.
Dharau za ndugu na jamaa ni Bora za rafiki, usipokuwa na imani kujiua sio suala gumu.
Mbaya zaidi Kiongozi wa dini hajui Psychological problems...yeye anajua unafanya makusudi kijana unapofanya dhambi hasa ya kujiua. Serikali isomeshe raia elimu hii ya Psychology la sivyo! Na haya maisha yalivyonyonga Cjui!
Mliotokea familia za kisomi na wenye upendo hasa kipindi kigumu cha maisha, wakakulea bila dharau mnapaswa kushukuru sana maana familia zetu kitaa Wazazi huanza kukudharau as if Ulijizaa.
We nae,Hebu tuondolee mawazo yako ya chama,hata wakitoka hao CCM kikaingia chama kipya kitapunguza huo msongo wa mawazo wa vijana?Mwanasiasa ni Mwanasiasa tu tofauti ya rangi za bendera zao zisikuhadae! Mwanasiasa yoyote akikwambia maneno yake yapuuze cha kuamini ni jina lake tu..Na bado waendelee kuchagua ccm,vijana wanatakiwa kujua bila kujitoa mhanga kwa kutumia nguvu ili ccm itoke watasubili Sana.Kuliko kujiua si Bora nikakiunge na Isis Msumbiji afu nije kujiripua kwa maccm italeta ujumbe
N
Na usiombe moja Kati ya ndugu uliozaliwa nao awe amepatia kidogo maisha!Wewe hata ukitaka kushauri Jambo la kifamilia utasikia ameanza Vurugu zake.