Wimbi kubwa la vijana wasomi 20's kujitoa uhai, nini maoni yako?

Marhaba kijana, waeupuke Chadema watakuharibia maisha
kumbuka mimi ni jamii ya kina massawe na urio, mkataa kwao mtumwa, afu mkataa pema panamuita pabaya achana na chadema fanya yako kwanza.
 
Tatizo Chadema wanawatesa hao vijana kwa kuwaambia uwongo

Shauri yao baada ya October wachimba makaburi watatajirika sana
Mkuu ulivyokuwa unaandika huu upuuz ulikuwa umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka huku umepakatwa na kupapaswa?
 
Kijana alietoka familia maskini kumaliza shule na ukakosa mishe ya kufanya ni hatari mbaya sana kwa afya ya akili.

Kama umebahatika kupata kazi inabidi umshukuru sana Mungu, mtaani pagumu sana usiombe.
 
Na bado waendelee kuchagua ccm,vijana wanatakiwa kujua bila kujitoa mhanga kwa kutumia nguvu ili ccm itoke watasubili Sana.Kuliko kujiua si Bora nikakiunge na Isis Msumbiji afu nije kujiripua kwa maccm italeta ujumbe
 
Tatizo Chadema wanawatesa hao vijana kwa kuwaambia uwongo

Shauri yao baada ya October wachimba makaburi watatajirika sana
Mambo ya maana unaleta utani,tofautisha japo badhi ya mambo
 
Tena kama mwanamke kuolewa hujaolewa kazi huna hizo dharau zake unaweza jinyonga.
Ni dharau tupu, kitu pekee kinachonifanya nijipe moyo ni kuwa wanaonidharau nimezidi kwa mbali sana kiakili na fikra ingawaje hawalijui hilo kwa kuwa hawaoni kwa macho niliyowazidi.
 
Tatizo Chadema wanawatesa hao vijana kwa kuwaambia uwongo

Shauri yao baada ya October wachimba makaburi watatajirika sana


Serikali ya CCM haiwapi ajira hao vijana, isitoshe Serikali ya CCM imesababisha viwanda kadhaa kufungwa na hivyo watu wengi hasa vijana kutokuwa na ajira, sasa ukichanganya waliachishwa ajira na wale ambao bado kuajiriwa utaona kuwa wimbi la jobless mitaani ni kubwa mno, mbaya zaidi serikali haijaweka miundombinu madhubuti ya watu kujiajiri, ukijiajiri kwa kufungua genge au kuuza bidhaa ndogondogo unatakiwa uwe na kitambulisho cha mmachinga 20,000/= nk, na ukute katika familia mambo ni mabaya hapo ndiyo kabisa matumaini hupotea, kwanini vijana wasijinyonge?!!.

Cha msingi ni uvumilivu bila kukata tamaa na jitihada ipo siku Mungu atakuona tu.
 
Yaani hao 3 ndio unaita wimbi kubwa

???
 
Tatizo Chadema wanawatesa hao vijana kwa kuwaambia uwongo

Shauri yao baada ya October wachimba makaburi watatajirika sana
Hahaha nimefurahi kuona unakili ccm inashindwa, na CHADEMA linaingia kunyoosha mambo.
 
Kuna msukumo mkubwa kutoka kwenye jamii inayowazunguka ambayo inawataka katika miaka hiyo eti kwa sababu wamesoma wawe na maisha mazuri kuwazidi wale waliowaacha mtaani, jambo ambalo kwa sasa ni ndoto za alinacha
 
BINAFSI SIONI NINACHOKIFANYA DUNIANI YANI SIONI SIONI , Nadhan kifo ndo suluisho kwaiyo wanao jiuwa siwashangai sana mm natafuta suitable way with no pain just smooooooothsmooothss
Hahaha hakuna anayejua anafanya nini humu duniani, wote tuna survive tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…