Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like thisOnly bet what you can afford to lose
Nimecheka sana hilo jina la maafisa Ubashiri...Ma Afisa ubashiri tunalipa Kodi Kwa Kila mkeka kwa takribani 18%-20% kwenye Kila mkeka. Ma Afisa usafirishaji (bodaboda) hawalipi kiasi hicho. IfIke hatua makampuni ya bima yatutambue.
Kwa hapa nchini Afisa ubashiri mwandamizi akianza na mtaji wa 25,000 Kwa odds 2 Kila siku ana uhakika wa kupata milioni 10 baada ya wiki mbili.Aahaaaa
Afisa Ubashiri
Nimelipenda hili neno
Mkuu Hawa maafisa kima Cha chini Cha mishahara yao ni tsh ngapi Kwa mwezi!!
Wabetiji hawana akili hiyo, uingereza serikali inahaha kudhibiti betting,hawajapata njia waingie vipiOnly bet what you can afford to lose
AhahaaaKwa hapa nchini Afisa ubashiri mwandamizi akianza na mtaji wa 25,000 Kwa odds 2 Kila siku ana uhakika wa kupata milioni 10 baada ya wiki mbili.
Waifungie Ligi ya UingerezaWabetiji hawana akili hiyo, uingereza serikali inahaha kudhibiti betting,hawajapata njia waingie vipi
Apa ndio uwizi unapoanziaNi vile tuu wenye makampuni ya betting walitakiwa wawe fair angalau mtu akikosea timu tatu apewe Hela tuu
AaaaaahKumbe nyie ni maafisa halafu tulikuwa hatujui.
Na wanauza mali yeyote kwa thamani ndogo maduka mengi yaliyopo SA ya Cash Converter au Crusaders wauzaji wa bidhaa ni wazungu wanaobetti wanapekeka Camera,Laptop kwa bei ndogo ila wakifanya hivyo wanazoa hela anarudisha mzigo mpya tena home wao kubeba TV na kuipeleka dukani hawaoni hatari na mara nyingi wanatunza vitu vyote kuanzia box mpaka risiti anajua ipo siku vitamsaidia...wazungu wanabet balaa kiasi inawaletea umasikini,
Uko sahihi mkuu. Kuna Hawa sportybet wana option ya 1cut yaani timu Moja ikichana angalau unabaki na kitu. Ila inabidi waongeze ZaidNi vile tuu wenye makampuni ya betting walitakiwa wawe fair angalau mtu akikosea timu tatu apewe Hela tuu
Ficha hii post,, motivation speaker wakiona hii tumekwisha,,Kwa hapa nchini Afisa ubashiri mwandamizi akianza na mtaji wa 25,000 Kwa odds 2 Kila siku ana uhakika wa kupata milioni 10 baada ya wiki mbili.
Tukirudi nyumbani TZ je, Hali ikoje?Na wanauza mali yeyote kwa thamani ndogo maduka mengi yaliyopo SA ya Cash Converter au Crusaders wauzaji wa bidhaa ni wazungu wanaobetti wanapekeka Camera,Laptop kwa bei ndogo ila wakifanya hivyo wanazoa hela anarudisha mzigo mpya tena home wao kubeba TV na kuipeleka dukani hawaoni hatari na mara nyingi wanatunza vitu vyote kuanzia box mpaka risiti anajua ipo siku vitamsaidia...
Kwa kweli mkuu. Inabidi wahamasishe vijana (interns) wa ubashiri waachane na ma treni ya TRC. Waanze kutumia mfumo wa rollover Ili wakuze mitaji yaoFicha hii post,, motivation speaker wakiona hii tumekwisha,,
Hali ni mbayaTukirudi nyumbani TZ je, Hali ikoje?
Kila mwezi zaidi ya pound 800m waingereza wanaweka kwenye kubetWaifungie Ligi ya Uingereza
Simple tu
Hiyo ni sawa na Hela ngapi za madafu!?Kila mwezi zaidi ya pound 800m waingereza wanaweka kwenye kubet