Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kijana wa makamo huyu45 na 50 ni Wazee? Unajua maana ya uzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wa makamo huyu45 na 50 ni Wazee? Unajua maana ya uzee?
Zidisha Mara buku tatuHiyo ni sawa na Hela ngapi za madafu!?
Hao ni interns, vijana walioko kwenye entry level. Ukishakua Afisa ubashiri mwandamizi huwezi kuwa na addiction Bali u think in terms of probability.Wabetiji hawana akili hiyo, uingereza serikali inahaha kudhibiti betting,hawajapata njia waingie vipi
Still addiction...kwa nini usiache!?Hao ni interns, vijana walioko kwenye entry level. Ukishakua Afisa ubashiri mwandamizi huwezi kuwa na addiction Bali u think in terms of probability.
Makamba jr ana miaka 51 anaitwa kijana. Mwigulu ana miaka 60 anaitwa kijana.45 na 50 ni Wazee? Unajua maana ya uzee?
800,000,000 x3000=2,400,000,000,000 tshsZidisha Mara buku tatu
Betting is a game of chance and probability. Once you master your psychology and put in the work you will never be the same. Rookies thinks of betting as a get rich quick scheme. We are not in Vegas, bookies are always smart than us.Hali ni mbaya
Kama watu wanafanya kazi halali inayokuza uchumi it is ok,hata wakiibetia hiyo Hela sawa tu
Shida ni kama ikiwa ni kinyume chake
Naunga mkono hojaHao ni interns, vijana walioko kwenye entry level. Ukishakua Afisa ubashiri mwandamizi huwezi kuwa na addiction Bali u think in terms of probability.
Tupo makamishna wa ubashiri tunaweka mzigo mkubwa. yaani bet big win bigHao ni interns, vijana walioko kwenye entry level. Ukishakua Afisa ubashiri mwandamizi huwezi kuwa na addiction Bali u think in terms of probability.
Once you are addicted to cheap dopamine u will never quit.Still addiction...kwa nini usiache!?
KaparoTupo makamishna wa ubashiri tunaweka mzigo mkubwa. yaani bet big win big
Keep up the spirit man. Hiki ndicho nakizungumzia.Tupo makamishna wa ubashiri tunaweka mzigo mkubwa. yaani bet big win big
Huyu atakua corner division... Sio full time A/H
Kama hiviKeep up the spirit man. Hiki ndicho nakizungumzia.
AhaahaahaHuyu atakua corner division... Sio full time A/H
Naaam...multipy that stake man...Kama hivi
Waicheza hiyo michezo na bonanza husikii keleleinashangaza sana hadi vikongwe wanacheza mchezo supa,tatu mzuka nk
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Beti sina bahati nayo kabisa sijui nakosea wapi, yaani timu kubwa kama Ac Milan kila siku anashinda lkn siku nikimpa ushindi ndo siku atakayopigwa [emoji22]