Kaparo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,072
- 5,053
Tatu mzuka and the likes works on the line of random algorithms... Lucky! Betting is an art. U need to Master the fundamentalsinashangaza sana hadi vikongwe wanacheza mchezo supa,tatu mzuka nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatu mzuka and the likes works on the line of random algorithms... Lucky! Betting is an art. U need to Master the fundamentalsinashangaza sana hadi vikongwe wanacheza mchezo supa,tatu mzuka nk
Makamishina ni wale tuna stake kuanzia laki odds 2 hadi 10 sio wale unakuta ana stake jero, buku, elfu 30 Ili wale laki ambayo Bado ni stake kwa makamishina wa ubashiri.
Wenye mitaji midogo Bado wanajitafuta.Makamishina ni wale tuna stake kuanzia laki odds 2 hadi 10 sio wale unakuta ana stake jero, buku, elfu 30 Ili wale laki ambayo Bado ni stake kwa makamishina wa ubashiri.
Mimi siachi betting walai siwezi kuacha
Kupenda urahisi wa kupata pesa, kukimbia changamoto... Lakini ukweli uko pale pale sijawahi kuona mtu aliyetoboa maisha kwa kubeti.sijui ni ugumu wa maisha au ndo kupenda urahisi beti
Tuacheni tubeti kwa raha zetu...Habari za asubuhi wana JF,
Kuna wimbi kubwa mtaani la wazee na wanawake kujiingiza kwenye kamari (kubeti), tatizo umasikini au ndio maendeleo ya soka nchini?
Nakumbuka World Cup last year kila mtu ni kubeti tu, ukikutana na wazee, wanawake wa mtaani wanataka uwafundishe kubeti na wakisikia fulani kashinda mkeka wanachanganyikiwa, na wao wanajitahid kubeti kwa nguvu ili washinde. Unakuta familia nzima wanabeti!
Viongozi wa dini nao wanabeti kisirisiri, nilishawahi kumshitukia mmoja. Mnajifanya wema Sana kukataza,na tuwe mbali na dhambi ya kamari kumbe na nyie mpo addicted na kamari.
Na wastaafu wengi wakiona tu hela inakaribia kuisha nao wanajiingiza kwenye kubeti, mwisho wa siku hela imekata wanakuwa addicted na kamari, kazi kupiga vizinga watu ili wakabeti.
Vijana tupambane na life ili tusitumie uzee wetu kwenye kamari, kubeti ni kama burudani sio kazi.
Naomba kuwasilishaa.
Hiyo kodi si hadi ule, nyie mara nyingi mnaliwa tu.Ma Afisa ubashiri tunalipa Kodi Kwa Kila mkeka kwa takribani 18%-20% kwenye Kila mkeka. Ma Afisa usafirishaji (bodaboda) hawalipi kiasi hicho. IfIke hatua makampuni ya bima yatutambue.