Wimbi kubwa la wazee na wanawake wa miaka 45+ kuongezeka kwenye kamari (kubeti) tatizo ni nini?

Wimbi kubwa la wazee na wanawake wa miaka 45+ kuongezeka kwenye kamari (kubeti) tatizo ni nini?

Makamishina ni wale tuna stake kuanzia laki odds 2 hadi 10 sio wale unakuta ana stake jero, buku, elfu 30 Ili wale laki ambayo Bado ni stake kwa makamishina wa ubashiri.
Wenye mitaji midogo Bado wanajitafuta.
 
Hivi hamjui kila kitu duniani ni kubet? Unaenda kanisani au msikitini miaka yote huku unaamini ukifa utaenda peponi ila unakuja kufa unajikuta upo motoni
 
sijui ni ugumu wa maisha au ndo kupenda urahisi beti
Kupenda urahisi wa kupata pesa, kukimbia changamoto... Lakini ukweli uko pale pale sijawahi kuona mtu aliyetoboa maisha kwa kubeti.
 
Tatizo Benki wanatoa mikopo Kwa riba kubwa sana,betting unaweza PATA milion8 ambayo Benki watakukopwsha miezi 96 ndani ya mwaka mja
 
Habari za asubuhi wana JF,

Kuna wimbi kubwa mtaani la wazee na wanawake kujiingiza kwenye kamari (kubeti), tatizo umasikini au ndio maendeleo ya soka nchini?

Nakumbuka World Cup last year kila mtu ni kubeti tu, ukikutana na wazee, wanawake wa mtaani wanataka uwafundishe kubeti na wakisikia fulani kashinda mkeka wanachanganyikiwa, na wao wanajitahid kubeti kwa nguvu ili washinde. Unakuta familia nzima wanabeti!

Viongozi wa dini nao wanabeti kisirisiri, nilishawahi kumshitukia mmoja. Mnajifanya wema Sana kukataza,na tuwe mbali na dhambi ya kamari kumbe na nyie mpo addicted na kamari.

Na wastaafu wengi wakiona tu hela inakaribia kuisha nao wanajiingiza kwenye kubeti, mwisho wa siku hela imekata wanakuwa addicted na kamari, kazi kupiga vizinga watu ili wakabeti.

Vijana tupambane na life ili tusitumie uzee wetu kwenye kamari, kubeti ni kama burudani sio kazi.

Naomba kuwasilishaa.
Tuacheni tubeti kwa raha zetu...
 
Ma Afisa ubashiri tunalipa Kodi Kwa Kila mkeka kwa takribani 18%-20% kwenye Kila mkeka.  Ma Afisa usafirishaji (bodaboda) hawalipi kiasi hicho. IfIke hatua makampuni ya bima yatutambue.
Hiyo kodi si hadi ule, nyie mara nyingi mnaliwa tu.
 
Back
Top Bottom