Wimbi la wanawake wanatumia vipodozi vikali nchini, hali itakuwa mbaya miaka mitano ijayo

Wimbi la wanawake wanatumia vipodozi vikali nchini, hali itakuwa mbaya miaka mitano ijayo

ile mi make-up dah huwa inanikata kabisa stim unakuta dem pisi haswa ila kajipaka mazaga mdomoni,kope,nyusi,makucha bandia hadi nahisi atanitoboa nayo
gademit...
 
Kitu hawajui wanawake wanaojichubua ni kwamba hata ladha ya asili ya huko chini huwa inapotea,papuchi inakuwa kavu utelezi unautafuta kwa frequency, ukifanikiwa kupiga kimoja cha pili unamuona kama msukule kavamia chumbani kwako.
 
Limeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli
Mafuta unayopaka unanunua wapi hasa ya kondoo
 
Kitu hawajui wanawake wanaojichubua ni kwamba hata ladha ya asili ya huko chini huwa inapotea,papuchi inakuwa kavu utelezi unautafuta kwa frequency, ukifanikiwa kupiga kimoja cha pili unamuona kama msukule kavamia chumbani kwako.
Hee jamani ladha inatokea ndani au nje?
 
Me hata wanja umenishinda mwenzenu
images.jpeg

Hiki nini sasa 🚮
 
Miss Natafuta mimi nadeal na vipodozi na ni caramel
Changamoto kubwa wateja hawanielew kwa sababu mimi siyo mweupe na sijataka kujibadilisha.
Wanaume wanao wanapendelea zaidi wanawake weupe(hivyo wadada wanapambana kuwaplease)
Nawakoroge mikorogo mingine navaa gloves(sababu ya hydroquinone)

Hawajali sana , siku hizi tunawapa mafuta ya maji pamoja na sunscreen kupunguza makali.
Japokua yajayo yanafurahisha.
 
Mengine ni kama mazombi ya kwenye wimbo wa thriller ya Michael Jackson
 
Miss Natafuta mimi nadeal na vipodozi na ni caramel
Changamoto kubwa wateja hawanielew kwa sababu mimi siyo mweupe na sijataka kujibadilisha.
Wanaume wanao wanapendelea zaidi wanawake weupe(hivyo wadada wanapambana kuwaplease)
Nawakoroge mikorogo mingine navaa gloves(sababu ya hydroquinone)

Hawajali sana , siku hizi tunawapa mafuta ya maji pamoja na sunscreen kupunguza makali.
Japokua yajayo yanafurahisha.
Ahaaa yaani yajayo yanafurahisha kwa kweli
Uzuri WA mkorogo bna mwanzoni unakukubali sio kidogo.
 
Back
Top Bottom