Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ukishatengeneza unayawekea manukato boss Acha ushambaHapo kwenye mafuta ya kondoo napata shaka kidogo,ina maana kiarufu chako kama cha kimasai masai fulani hivi?
Me hata wanja umenishinda mwenzenuile mi make-up dah huwa inanikata kabisa stim unakuta dem pisi haswa ila kajipaka mazaga mdomoni,kope,nyusi,makucha bandia hadi nahisi atanitoboa nayo
gademit...
Mafuta unayopaka unanunua wapi hasa ya kondooLimeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli
Hee jamani ladha inatokea ndani au nje?Kitu hawajui wanawake wanaojichubua ni kwamba hata ladha ya asili ya huko chini huwa inapotea,papuchi inakuwa kavu utelezi unautafuta kwa frequency, ukifanikiwa kupiga kimoja cha pili unamuona kama msukule kavamia chumbani kwako.
Jikite kwenye madaNa wanaume wanakunywa pombe kali ...taifa lisilo na future😄
Ahaaa kweli siku utasikia kuglow
Ungekuwa me ungenielewa vizur.Hee jamani ladha inatokea ndani au nje?
Hiyo ladha ninayoingelea inapatikana kwa madada wa kazi na wale wadada wanaotembeza mbogamboga na mabeseniHee jamani ladha inatokea ndani au nje?
Natengeneza mwenyewe ahaaaaMafuta unayopaka unanunua wapi hasa ya kondoo
Yaani aisee .ila wanaume mnapenda hayoView attachment 3266578
Hiki nini sasa 🚮
sio vitu vyangu me nina vitu vyangu nikiviona nasema yesYaani aisee .ila wanaume mnapenda hayo
Ahaaa yaani yajayo yanafurahisha kwa kweliMiss Natafuta mimi nadeal na vipodozi na ni caramel
Changamoto kubwa wateja hawanielew kwa sababu mimi siyo mweupe na sijataka kujibadilisha.
Wanaume wanao wanapendelea zaidi wanawake weupe(hivyo wadada wanapambana kuwaplease)
Nawakoroge mikorogo mingine navaa gloves(sababu ya hydroquinone)
Hawajali sana , siku hizi tunawapa mafuta ya maji pamoja na sunscreen kupunguza makali.
Japokua yajayo yanafurahisha.