Wito kwa Bunge la Katiba: Kura iwe ya Siri kwasababu Hakuna aliyetumwa na Watu Kuwawakilisha!

... Soma vizuri nguzo kuu za Demokrasia utakuta kura ya wazi (secret ballot) ni nguzo mojawapo ya demokrasia...[/QUOTE]

Samahani sijakuelewa hapo kwenye RED unaweza kunifafanulia kidogo tafadhali?
 
Pamoja na mawazo mazuri na nia njema hujagusa ukweli uhusiano wa vyama na wabunge wake. Kwanza kwa mfumo wetu uwakilishi huo wa wananchi haupati ila kwa idhini ya chama chake. Ndiyo maana kuna tahaluki kubwa sasa kwa sababu 2015 si mbali. Vyama vimeshika rungu na ukisikiliza kauli za vyama ni dhairi utagundua kuna vitisho vya aina fulani.

Ni kweli kabisa tungependa kupata misimamo ya wabunge wetu na nitapenda kuona hili linaingia kwenye Katiba ili kuachana na kura za kelele. Sit akin kuona mbunge niliyemchagua anakwenda kuunga mkono k.m. ndoa za jinsi moja. Lakini bahati mbaya mazingira ya sasa ili kutupa Katiba ya namna hii yenye dhamira sahihi za wawakilishi wetu, kura ya Siri nafikiri ndiyo suluhisho. Lakini whakikishe wanafuta kupitisha bungeni hoja kwa kelele.
 

wewe mwenyewe unajikanyaga umeshasema hawa CCM wanalazimishwa kufuata msimamo wa chama na sio wananchi na maoni ya wananchi ili kukiokoa chama., sasa bas hiyo ni sababu tosha kura iwe ya siri ili haki iliyo katika nafsi zao iweze kupatikana kwa maslahi ya taifa na wawo wawe salama wakitoka hapo bungeni
 
Kama kura itakuwa ya siri je mimi ninayewakilishwa nitajuaje mwakilishi wangu kama ameniwakilisha vilivyo au amejiwakilisha binafsi na matakwa ya familia yake, hapa nitamuwajibishaje bila ushahidi?

Mwakillishi sio Lazima atekeleze yote aliyokuahidi.Utampima kwa kutekeleza asilimia kubwa ya aliyokuahidi.Mungu Pekee ndie hutekeleza kwa Asilimia zote.
 

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa binafsi sikuwahi kuona wala kusikia mbunge au mwakilishi akikusanya maoni ila hapo kwenye RED ndipo penye swali, je kama mbunge hajaitisha mkutano si anao uzoefu wa wananchi wake wanataka nini? na kama anjua na akaenda kinyuma sisi tutajuaje kwamba katuwakilisha vibya ili tumwajibishe?
 
Labda hukunielewa nimesema wawakilishi rasmi wa vya walioteuliwa kuwakilisha vyama vya siasa,lazima wasimamie msimamo wa vyama vilivyowatuma hata kama wao binafsi hawataki, na wakikiuka sharti wawajibishwe bila huruma,maana kura sio zao binafsi ila ni za wale waliowatuma. Nikasema hata wabunge kura ni za wananchi wao si zao binfsi au vyama vyao.
 
Mimi nakuunga mkono kabisa majibu yako bwana Nguvu ya Hoja, naona mawazo yetu yanashabihiana kwa kiasi kikubwa mzee!
 
Binafsi nitapiga kura ya wazi ndiyo ninayoipenda siyo vinginevyo kura ya siri ni unafiki mtupu.
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilisainiwa kwa waasisi kujifunguia ndani wakayapora maoni ya wananchi wakaamua kwa Ubabe na sasa ZAIDI ya miaka 50 tunashuhudia Baadhi ya wajumbe wa Bunge maalam kupitia kamati ya kanuni kuturudisha kulekule kwa Waasisi, MAONI yangu ni haya tunahitaji Mjadala wa Wazi na Kura ya siri, Hii dhana kuwa waandishi wa habari hawana uwezo wa kuchuja na kufahamu nini au kipi ni habari ni dhana inayo wadharirisha Waandishi wa habari nchini na Kudharirisha taasisi zote nchini zinazotoa mafunzo ya Uandishi wa Habari, ninavyofahamu mimi kuna Waandishi wa habari wamesoma vyuo au taaasisi zile zile walizo soma Mainginia, Wanasheria, Walimu n.k sasa hii dhana sijui kwa kweli imetoka wapi huu ni Upuuzi usioweza kufumbiwa macho, LAZIMA UKEMEWE WAZI WAZI, Naungana na waandishi wa habari tuende Dodoma Wajumbe watueleze endapo Vikakao vya Kamati vimegeuka kuwa cc ya vyama vya siasa hasa...., kikao cha ukoo, au kikao cha baraza la Kanisa au Msikiti, Tunahitaji uwazi katika mchakato huu, mf Mjumbe mmoja wa kamati anatoa mfano kwamba itakuweje wajumbe wakikunjana, huyu amenichefua zaidi ina maana Wakunjaji, watoboa macho, wang'oa meno, wanaoswitch off majogoo, tayari wameshapangwa kwa kazi hiyo Dodoma???????? Tunahitaji kufahamu kila hatua ya mchakato huu Mwenyezi Mungu aliye iweka Tanganyika na Zanzibar hatoruhusu mjumbe yeyoyote au wakala yeyote Alete mchezo dhidi ya Watu wake, Pesa zilizotumika zilikuwa zinahitajika sana kwenye Huduma za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji, n.k
 
Hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilisainiwa kwa waasisi kujifunguia ndani wakayapora maoni ya wananchi wakaamua kwa Ubabe na sasa ZAIDI ya miaka 50 tunashuhudia Baadhi ya wajumbe wa Bunge maalam kupitia kamati ya kanuni kuturudisha kulekule kwa Waasisi, MAONI yangu ni haya tunahitaji Mjadala wa Wazi na Kura ya siri, Hii dhana kuwa waandishi wa habari hawana uwezo wa kuchuja na kufahamu nini au kipi ni habari ni dhana inayo wadharirisha Waandishi wa habari nchini na Kudharirisha taasisi zote nchini zinazotoa mafunzo ya Uandishi wa Habari, ninavyofahamu mimi kuna Waandishi wa habari wamesoma vyuo au taaasisi zile zile walizo soma Mainginia, Wanasheria, Walimu n.k sasa hii dhana sijui kwa kweli imetoka wapi huu ni Upuuzi usioweza kufumbiwa macho, LAZIMA UKEMEWE WAZI WAZI, Naungana na waandishi wa habari tuende Dodoma Wajumbe watueleze endapo Vikakao vya Kamati vimegeuka kuwa cc ya vyama vya siasa hasa...., kikao cha ukoo, au kikao cha baraza la Kanisa au Msikiti, Tunahitaji uwazi katika mchakato huu, mf Mjumbe mmoja wa kamati anatoa mfano kwamba itakuweje wajumbe wakikunjana, huyu amenichefua zaidi ina maana Wakunjaji, watoboa macho, wang'oa meno, wanaoswitch off majogoo, tayari wameshapangwa kwa kazi hiyo Dodoma???????? Tunahitaji kufahamu kila hatua ya mchakato huu Mwenyezi Mungu aliye iweka Tanganyika na Zanzibar hatoruhusu mjumbe yeyoyote au wakala yeyote Alete mchezo dhidi ya Watu wake, Pesa zilizotumika zilikuwa zinahitajika sana kwenye Huduma za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji, n.k
 
Hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilisainiwa kwa waasisi kujifunguia ndani wakayapora maoni ya wananchi wakaamua kwa Ubabe na sasa ZAIDI ya miaka 50 tunashuhudia Baadhi ya wajumbe wa Bunge maalam kupitia kamati ya kanuni kuturudisha kulekule kwa Waasisi, MAONI yangu ni haya tunahitaji Mjadala wa Wazi na Kura ya siri, Hii dhana kuwa waandishi wa habari hawana uwezo wa kuchuja na kufahamu nini au kipi ni habari ni dhana inayo wadharirisha Waandishi wa habari nchini na Kudharirisha taasisi zote nchini zinazotoa mafunzo ya Uandishi wa Habari, ninavyofahamu mimi kuna Waandishi wa habari wamesoma vyuo au taaasisi zile zile walizo soma Mainginia, Wanasheria, Walimu n.k sasa hii dhana sijui kwa kweli imetoka wapi huu ni Upuuzi usioweza kufumbiwa macho, LAZIMA UKEMEWE WAZI WAZI, Naungana na waandishi wa habari tuende Dodoma Wajumbe watueleze endapo Vikakao vya Kamati vimegeuka kuwa cc ya vyama vya siasa hasa...., kikao cha ukoo, au kikao cha baraza la Kanisa au Msikiti, Tunahitaji uwazi katika mchakato huu, mf Mjumbe mmoja wa kamati anatoa mfano kwamba itakuweje wajumbe wakikunjana, huyu amenichefua zaidi ina maana Wakunjaji, watoboa macho, wang'oa meno, wanaoswitch off majogoo, tayari wameshapangwa kwa kazi hiyo Dodoma???????? Tunahitaji kufahamu kila hatua ya mchakato huu Mwenyezi Mungu aliye iweka Tanganyika na Zanzibar hatoruhusu mjumbe yeyoyote au wakala yeyote Alete mchezo dhidi ya Watu wake, Pesa zilizotumika zilikuwa zinahitajika sana kwenye Huduma za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji, n.k
 
Hakuna mtu aliyeuliza wapigakura waliomchagua. Na wengine wameteuliwa na rais. Kura ya siri ndio kura. Raais wabunge madiwani mabalozi na hata kura za kumchagua class monitor huwa ni za siri. Kama hawatafanya tunavyotaka sisi watanganyika tanganyika yetu basi kwenye kura ya kuipitisha tutaikataa.
 
Mambo hadharani ndio mpango mzima kuepuka wanafiki lakini...
 
Nakuunga mkono. Na hasa hii ya hao wabunge wanaposimama huko Dodoma wakidai wanawakilisha mawazo ya wananchi wao, ambao wengine wana zaidi ya mwaka hawajakutana nao. Angalau nimemwona Mh Mnyika akihamasisha watu wake wampe maoni jimboni kwake na hata nje ya jimbo lake. Ameweka hata rasmu ya kanuni kwenye blog yake na kuomba maoni. Lakini hii haimaanishi atakayoyaongea ni ya wananchi wake.

Kubwa la kukumbuka ni kuwa unapoteuliwa kuwa mwakilishi wa wananchi au kiongozi, unatakiwa uongozi na kuuwakilisha kwa hekima, siyo kama kaduku. Na ili linaweza kutenda vyama tu kwa kuongozwa na dhamira yako njema bila ya shuruti ya kimakundi au kibinafsi. Na hapa ndiyo kura ya Siri inapohitajika na hasa katika mfumo wetu tulio nao sasa.
 

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa huenda hakuna mjumbe aliyeuliza wapigakura ila ni lazima anajua watu wake wanataka nini na kama hajui basi atapiga kura kinyume na matakwa yao na kwa vile kura itakuwa wazi hapo ndio pa kumwajibisha,pia tofautisha kura ya kumchagua rais na na hii tunayoiongelea,kwani ile ya rais ni matakwa ya mpiga kura binafsi hii ya sasa ni matakwa ya waliokutuma hata kama wewe binafsi hukubaliani nao. Kuhusu wajumbe walioteuliwa na Rais hao ni wawakilishi wa makundi maalum na wanawakilisha misimamo ya makundi yao na sio wao binfsi.
 

Unachokiongea ndicho nisemacho. Wajumbe wengi wa CCM wamekengeuka. Wanachokitaka siyo msimamo wa chama, ndiyo maana wale mavuvuzela wamepewa kazi ya kupigania kura ya wazi ili wawadhoofishe hao walio kinyume na msimamo wa chama chao kwani ni wale majasiri tu walio tayari kwa lolote ndiyo watakaoobyesha misimamo yao katika uwazi. Na kwa ccm watu wa aina hiyo ni wachache kama nini.
 

Hapo penye RED unasema wananchi wamwajibishe kwa kutumia kipengere gani cha sheria? Katiba yenyewe yenye kipengere hicho ndo hiyo mnahihujumu ili wananchi tusiwe na sauti juu ya wale tuliowachagua,
Je ni majimbo mangapi wananchi hawana raha na wabunge wao lkn hawana mamlaka ya kuwawajibisha.
kama hujui mfano ni jimbo la segerea DSM,lkn kwa kuwa hakuna kipengere cha kumwajibisha mbunge inabidi msubiri uchaguzi ujao.
Jingine ni je wateule wa rais nani atawawajibisha ikiwa watafuata matakwa ya rais(m/kiti wa ccm) ambaye ndiye kawateua
na hivyo wakaogopa kumuudhi kwa sababu anawaona jinsi wanavyopiga kura,
Ukweli mimi naona kila anayepigia debe kura ya wazi ana maslahi binafsi au hajui lolote anafuata mkumbo wa watawala
wanataka nini na si yeye mwenyewe, na huu ndo nauita unafiki wa watanzania,na tutajuta kwa unafiki huu.
 

...........:help: Ninajuta kupita hapa kukutana na madudu kama haya :target:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…