Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

πŸ˜ΆπŸ€¨πŸ˜πŸ˜‘πŸ˜‘
 

Kaijage analaumiwa bure ilihali hajapelekewa hizo case
Chadema fuateni utaratibu ili kuweza kupata haki yenu
 
Hujajibu swali kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana ambao ulisusiwa na wapinzani baada ya 98% ya wagombea wao kuenguliwa. Maccm bila woga wala aibu yakajipa ushindi wa bila kupingwa Nchi nzima. Nini kingewafanya washindwe kujipa ushindi mwingine Nchi nzima wa bila kupingwa kwa miaka mingine mitano kama upinzani ungesusia uchaguzi?

Wapinzani waliliona hilo na mimi nawapongeza sana kushiriki kwani wameweza kuionyesha dunia jinsi ambavyo chaguzi zetu zilivyojaa wizi, vitisho na kukosa uhuru na haki kwa wapiga kura kuchagua viongozi wawatakao.


 
Ajiudhulu Kwa njama za kipuuzi siyo??

Mpaka huu muda hakuna lalamiko lolote lile ktika ofs ya tume
 
Basi walaumu wapinzani kwa ujinga wao
 
Tuonyeshe hiyo video ya tweeter ikionyesha hao polisi wakihakiki hizo karatasi, msije kua ni mkatengeza karatasi zilizopigwa kura kutaka kuaminisha watu kua uchaguzi haukua fair, mlichoma ofisi yenu hili litawashindaje?, Kubalini tu matokeo, hii janja haiwasaidia kamwe
 
Weka ushahidi hapa Tundu Lisu akipiga kura kama ilivyo kawaida kwa Wagombea wote Duniani, weka ushahidi tu, its eaaasy , ...

Wewe kama nani? Kama hukuona si ni shauri yako unampigia nani kelele hapa
 
Na nilazima tume yote mpaka ngazi ya Jimbo warudishe pesa yote ya uchaguzi ni Kama pesa umetumika bure
 
Ni hivi:

Mimi ningependa kuona wapinzani wanasusia chaguzi zote, za ngazi zote.

Wanayo sababu ya msingi kabisa kufanya hivyo.

Wakisusia hizo chaguzi halafu CCM wajipe ushindi, so be it.

We’ve been there before.

Toka mwaka 1965 hadi 1995, nchi hii ilikuwa nchi ya chama kimoja.

Kila kitu kilianzia na kuishia na CCM.

And guess what? We survived it.

Naamini kabisa tunaweza kabisa ku survive kipindi kingine ikiwa lengo ni kudai mazingira bora yenye kutoa haki na fursa sawa kwa washindani wote.

CCM wakisusiwa, na wao wakiamua kujipa ushindi wa mezani, watakosa uhalali mbele ya wananchi na hata mbele ya jumuia za kimataifa kwa sababu, sababu za kususia chaguzi za maigizo zina mashiko.

Hivyo, kama tuli-survive miaka 30 ya chama kimoja, sioni kabisa kwa tusiweze ku survive kipindi kingine.

Acha CCM wajipe hata ushindi wa asilimia 500!

Mimi sioni kabisa mantiki ya kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua kabisa ni zoezi la kuwapa tu uhalali CCM.

Who is going to blame you for boycotting sham elections?

Boycotting sham elections is about courage, convictions, and principles. It’s about honor.

Taking part in sham elections is about fear. Fear of your opponent taking it all.

Im not down with fear. Not now, not ever.

However, I’m down with the courage of my convictions.

Boycott these sham elections.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…