Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

E
Be careful unless otherwise she will give you publicity.

U will become infamous.

Ur not Invisible from the point of her observation
 
Huwezi kuona sababu ya mahaba yako kwa Mange, so na kushangaa sasa umekasirika. Yaani ni kukimbie wewe......... yaaan wewe....
[emoji116][emoji116][emoji116]
Mbona hutoi mfano wa kosa la Manve kwa Jiwe? Je nani alikuambia kuwa Mange ndiye ailimsambaza Jiwe wako? Au unataka kusema alisambazwa kwenye app ya Mange?
 

Jinai ya kumkosea mtu heshima haiishi na haina expire date. Ipo siku
 
Mbona hutoi mfano wa kosa la Manve kwa Jiwe? Je nani alikuambia kuwa Mange ndiye ailimsambaza Jiwe wako? Au unataka kusema alisambazwa kwenye app ya Mange?
We sio wale Da Mange kasema aka mmekunywa maji ya bendera, kwa hiyo kosa ni kusambaza kwenye app ya Mange
? Ila akisambaza kupitia social networks hamna kosa.

Kweli wahenga walisema akili ni nywele ila hawa taja za eneo gani.

Sasa unataka mfano upi wakati ushaambiwa?
 
Yule baba alijua kututia akili, yaan watanzania tukawa smart vichwani, hakuna kudanganywa hovyo na mabeberu, tulijitambua, halafu tukageuka kua wazalendo na morali ya kufanya kazi, sasa hivi sasa vichekesho, ni morali ya kula kwa urefu wa kamba
Akili labda ulitiwa wewe, wengine tunazo zetu toka kitambo, kuna watu mnashangaza sana, yaani kutwa mnyonge ndiyo unasema umetiwa akili?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hivi huyu ndio role model wa ufipa mtetezi wa haki za binadam alikuwa anamtukana Magufuli nyumbu wanamshangilia na akaitisha maandamano uchwara. Leo mnagundua kuwa hana akili sawasawa.
Unaweza toa mfano wa tusi lake kwa Jiwe?
 
Wewe utakukuwa unatoka chato, mtu mzima lakini kichwani mweupe kiasi hiki
 

Mkurugenzi wa muhimbili alisema hamna cctv ICU we malisa ni nani usepe zipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…