Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Una mwandikia nani kiingereza? Akijua mkeo au sista wako inatosha bwana.....nimejaribu kufuatilia miongoni mwa waswahili wakishajua (NO, YES) baas dunia yote yao [emoji1] huu ni ushamba haswaa. Badilikeni wakuu!
Waswahili bhana, akijua kiingereza kidogo tu mtamkoma, lakini mim huwa naona ni dalili ya kutojiamini kwenye hiyo lugha. Kikubwa hupangiwi lugha ya kutumia
 
Kweli wewe hamnazo, kumwambia mtu ukweli kuwa hajui kiingereza ni kumtukana?
Hivi akili zenu huwa mnaweka wapi? Yaani kuambiwa hujui kiingereza ni tusi kwa akili zako????
 
Acha maneni mengi, sema alisambaza kupitia nini?
 
Ni mtu mshenzi kabisa, mshamba na limbukeni. Hana utu na ni chakaramu.
Demented and unhinged.
 
Hizi kauli aliwahi kupewa na shehe fulani hivi lakini zikadunda ,hata wewe zitadunda pia,picha za yesu tuko uchi mahututi msalabani zinazagaa jay ndio nani
 
Chadema ndio walimlee huyu binti wa kipare Leo kawashika tarko wote wamemkana na Jan kawatukana watu wa chadema na wa Twitter kuwa mka....firwee
Acha ujinga, walimlea kivipi? Yupo kwenye ilani au hotuba za viongozi wa Chadema? Acha kuongea crap.
 
Niliwahi waonya watu,, wanamuita mwanaharakati mwenzao mtu kama yule. Ni vile tuu yupo mbele ila yule ni Ebitoke aliechangamka!
 
Simfatilii lakini hizi dondoo mnazotoa humu zinasikitisha sana.

Simpendi Bashite kwa sababu zilizo wazi, alidhulumu haki za watu kuishi, so siwezi kumtetea huyo baradhuli kwa lolote. Ana hitaji kushitakiwa! Utu na uhai wa binadamu havipimiki. Huwa sipendi hata kuona picha yake.

Kwa wengine, nasikitika sana. Kweli sio fair! Tuheshimu faragha ya binadamu wenzetu. Le Muutuzi na wengine, i feel you people. Not fair aisee, kumbe wamepitia haya!
 
Niliwahi waonya watu,, wanamuita mwanaharakati mwenzao mtu kama yule. Ni vile tuu yupo mbele ila yule ni Ebitoke aliechangamka!
Hata ebitoke hawezi kutuambia eti sisi watu wa ‘Jamhuri ya twitter’ tuendelee ‘k-ufi-rw’ , kahaba hana staha kabisa yule
 




😁😁😁😁👾👾👾👾. Team nzima ya mabots tunaingia kulala sasa, asubuhi tukiamka tunaendeleza kama Yukrein 😁😁😁👾👾👾
 
kigogo ameweka picha ya Lisu akiwa ameshonwashonwa kalio na paja, ilisambazwa na wanachadema wenyewe. hata hivyo, kukweli sikufurahia ile ya prof j, it was inhumane. sema sijui kama walisambaza wafanyakazi au ndugu zake.tusihukumu haraka.
 
kigogo ameweka picha ya Lisu akiwa ameshonwashonwa kalio na paja, ilisambazwa na wanachadema wenyewe. hata hivyo, kukweli sikufurahia ile ya prof j, it was inhumane. sema sijui kama walisambaza wafanyakazi au ndugu zake.tusihukumu haraka.
Ni unyama tu, hakuna namna nyingine ya kuelezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…