Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
It is now or never . Kwa katiba ya Sasa ….. hata Mwijaku anaweza kuwa Rais.Nimemaliza kuangalia hotuba ya Tundu Lissu kwenye Mkutano wa Bawacha.
Niseme tu, this guy is gifted. Tumshukuru sana Mungu kwa kutupa huyu mtu wakati huu. Tumshukuru Mungu kwa sababu hakuruhusu mtu huyu afe mwaka 2017 kwa sababu alijua kuna wakati tutamuhitaji.
Najua mnajua namna gani nchi hii ilivyo kwenye hatihati ya ku collapse kutokana na kuwa dominated na kundi la watu wenye uchu wanaoila kama wanavyopenda bila kujali kesho yetu kama Taifa.
Najua mnaelewa namna gani siasa za nchi hii zinavyoliathiri Taifa hili hadi tunashindwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo.
Najua mnajua njia pekee ya kutoka hapa ni Kupata Katiba Mpya ambayo itatupa mifumo imara na sio kutegemea watu ambao wanaliharibu taifa letu.
Wito wangu kwenu. Mtumieni Tundu Lissu sasa, na hakikisheni anatumika vizuri kutupatia Katiba Mpya iliyo bora inayojenga mifumo imara itakayohakikisha Taifa hili kuwa imara hata miaka 500 ijayo.
Huyu mtu yupo hai leo kwa kutimiza kusudi la Mungu kwa Tanzania. Kama kumpa Ulinzi mpeni, kama kupush ajenda zake ili turekebishe mambo yanayolikabili Taifa naomba mzipush hizi ajenda zake ili tupate Katiba Bora itayaotengeneza Tanzania imara. Msipofanya haya nina uhakika kabla hamjafa mtashuhudia Taifa hili likifa na kuanguka completely na mtajutia sana.
Mungu awabariki.
Jeshi na STATE SECURITY…… it is now or NEVER .
kwa wale walio above 60 Kwa mujibu wa WHO life expectancy data…. Havana miaka 20 mbele ya kuishi….. hivyo wazee wote above 60 wasiharibu nchi wana muda mchache sana wa kuwepo duniani based on life expectancy data( kati ya miaka 70 hadi 75) ukizidi hapo ni neema ya mungu wako.
, je mnaenda kuachia generation yenu nchi ya aina gani? Kumbukeni mkitoka kwenye vyeo vyenu… hamtokuwa na thamani tena kama ilivyo kwa watoto wa Nyerere
It is now or never for the benefit of the country ….. nchi ina resources nyingi lakini zinauzwa bila ya kumnufaisha mtu wa chini.
It is now or never kwenye katiba mpya
Vyombo vya Ulinzi na usalama hasa maafisa na seniors ni watu wenye maisha mabaya na mishahara ya kipuuzi kutokana na katiba mbovu. It is now or never …… tunataka ile State security iliyokuwa
Ina leak info za Ufisadi kwa wanasiasa wenye akili na
Kuzilipua kwenye public …..sio hii ya sasa ya Uchawa
Katiba mbovu inamfanya hata Rais asiye na uwezo kuwa mungu
It is now or never …… Lissu is to lead