technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mwaka huu katiba itapatikana na uchaguzi utafanyika na huyu mama atadondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa tu wanajitoa ufahamu kitendo tu Cha TISS kugoma kuingilia uchaguzi chadema ilikuwa ni wake-up call ya kumwambia Samia now things are going to changeAtumiwe mara ngapi?
Unadhani uamuzi wa kuchukua fomu kumchaklenge mkt aliutoa ndotoni?
Polee sana. Najua unaumiwa kuona nyuzi kama hizi kwa sababu zinaenda kuharibu madili yenu ya kuliibia Taifa na watu wake masikini.Seriously una dalili zote za kichaa
Akiondoka Lissu sioni mtu wa kutufanikishia hili. Hata kina Warioba na Butiku wamechoka sana hawa wazee wetu. Uzee unazidi kudhoofisha afya zao kila kukicha.Huu ndio ukweli, Lissu ndie akina Mzee wa Warioba na Butuku wa sasa.
Hakuna tena wazee waliobakia wenye maono ya kukemea waliobaki zaidi ya hao wawili.
Hata akishinda kihalali baada ya huo uchaguzi utakaofanyika baada ya kupata Katiba Mpya hakuna shida. Kikubwa tupate Katiba Mpya iliyo bora haraka sana ili kusimika mifumo imara ya kulisimamia Taifa letu.Mwaka huu katiba itapatikana na uchaguzi utafanyika na huyu mama atadondoka
Kweli kabisaKutumia akili... Ndio key word..
Thank you.
Watu wanawaza 2030 wewe unataka wawaze 500 years to come?Nimemaliza kuangalia hotuba ya Tundu Lissu kwenye Mkutano wa Bawacha.
Niseme tu, this guy is gifted. Tumshukuru sana Mungu kwa kutupa huyu mtu wakati huu. Tumshukuru Mungu kwa sababu hakuruhusu mtu huyu afe mwaka 2017 kwa sababu alijua kuna wakati tutamuhitaji.
Najua mnajua namna gani nchi hii ilivyo kwenye hatihati ya ku collapse kutokana na kuwa dominated na kundi la watu wenye uchu wanaoila kama wanavyopenda bila kujali kesho yetu kama Taifa.
Najua mnaelewa namna gani siasa za nchi hii zinavyoliathiri Taifa hili hadi tunashindwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo.
Najua mnajua njia pekee ya kutoka hapa ni Kupata Katiba Mpya ambayo itatupa mifumo imara na sio kutegemea watu ambao wanaliharibu taifa letu.
Wito wangu kwenu. Mtumieni Tundu Lissu sasa, na hakikisheni anatumika vizuri kutupatia Katiba Mpya iliyo bora inayojenga mifumo imara itakayohakikisha Taifa hili kuwa imara hata miaka 500 ijayo.
Huyu mtu yupo hai leo kwa kutimiza kusudi la Mungu kwa Tanzania. Kama kumpa Ulinzi mpeni, kama kupush ajenda zake ili turekebishe mambo yanayolikabili Taifa naomba mzipush hizi ajenda zake ili tupate Katiba Bora itayaotengeneza Tanzania imara. Msipofanya haya nina uhakika kabla hamjafa mtashuhudia Taifa hili likifa na kuanguka completely na mtajutia sana.
Mungu awabariki.
Ndo tufauti ya sisi tunaoliwazia mema hili Taifa kwa mustakabali wake mzuri kwa miaka mingi na wajinga wa CCM wanaowaza matumbo yao na kujineemesha binafsi.Watu wanawaza 2030 wewe unataka wawaze 500 years to come?
Ukute Slaa mwenyewe ni undercover, usiamini sana mambo ya TzMkitaja tiss mtamfanya dr slaa aharishe kabisa
Hakuna kituUkute Slaa mwenyewe ni undercover, usiamini sana mambo ya Tz
ccm ni wapuuzi sanaNdo tufauti ya sisi tunaoliwazia mema hili Taifa kwa mustakabali wake mzuri kwa miaka mingi na wajinga wa CCM wanaowaza matumbo yao na kujineemesha binafsi.
Nadhani ukiwaita wapuuzi sio neno sahihi linalowafaa. CCM ni zaidi wa wapuuziccm ni wapuuzi sana
Sio system inamrudisha chadema kijanja akafanye kazi ya CCM kama alivyofanya 2015?Hakuna kitu
He hqs bursted his veil
Juzi kasema magu ni mtakatifu… halafu anataka kurudi chsdema ya domokaya, mhanga!!
Confused
Hajui tu nae. Ila akithubutu kusimamia mchakato wa Katiba Mpya iliyo bora yeye ndiye Rais atakayekumbukwa zaidi na Watanzania kwa vizazi vyote kuliko Rais yeyote yule mwingine.Nilitamani mama afanye jambo hili kubwa ambalo liliwashinda ma-Rais wanaume wote waliotangulia: KUANDIKA KATIBA MPYA.
Aidha ajenda ya 'No Reforms No Election' ilipaswa kuwa ajenda ya CCM kupitia 4R's za mama.