Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
4. Nakazia hapa!
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
7. Aliyeweka singeli USIPANDE

8. Aliyekaa upande upande USIPANDE

9. Aliyenin'giniza kitambaa siti ya nyuma USIPANDE
 
Bodaboda ilichukua uhai wa rafiki yangu dah. Tena bado kijana mbichi kabisa.

Kuna unaweza jisemea sitakaa ni pande boda. Ila Kuna sehem itafika inakua haikwepeki ila Kuna vitu inabidi uzingatie kama ushauri wa mtoa mada alivyo sema other wise unaweza ishia pabaya

Kuna siku nimechukua bodaboda airport nikitaka kuwahi Posta kabla benki hazijafungwa, mwendo alioenda nao na kupita barabara mbili taa nyekundu ikiwa zimewaka, nilimsimamisha ghafla nikamkabidhi pesa yake bila kudai chenji maeneo ya TAZARA. Nikachukua Tax biashara ya benki ikaishia hapo hadi kesho yake.

Sikuamini kama bado nipo hai kwa jinsi tulivyokoswakoswa na magari kwa jamaa kupita kasi tena taa nyekundu zimewaka. Ni kama robot yeye anaenda tu haangalii kabisa cha taa wala magari mengine..
 
For your information kama natoka kwangu hadi Airport si chini ya masaa 4, dogo! Hasa ikiwa si domestic. Ubishi wa michadema huo

Kwahiyo unaniziba mdomo! Unapora haki yangu ya kutoa maoni, CCM mnajikuta mna haki kuliko wengine.
 
Yaani ajali nyingi sisi ndio victims, na hatujui KURUKA. Nina rafiki zangu zaidi ya sita wameenda na mwingine Rehema Muya kapoteza uwezo wa kutembea, spinal cord imevunjika
Ooooh God....

Mungu amponye
 
Mwezi August binamu yangu katembea nayo israel na mwenzie kakatwa mguu, mbaya zaidi kila siku lazima nipite hiyo barabara na litukutuku langu kwenda na kurudi kazini...Mola aturehemu.
 
Mwezi August binamu yangu katembea nayo israel na mwenzie kakatwa mguu, mbaya zaidi kila siku lazima nipite hiyo barabara na litukutuku langu kwenda na kurudi kazini...Mola aturehemu.
Afadhali Kama ni yako inaendeshwa kwa nidhamu
 
Naelewa dada si ndiyo mambo yetu 🤣 nini helmet chafu? Kitendo tu cha kunipa helmet ananivuruga maana nikiivaa tu nywele itavurugika mawimbi.

Na venye wako na tabia mbaya? Ukimwambia itaniharibia nywele inakwambia we ishike tu ukikamatwa shauri zako 😆
halafu kama ulikuwepo, alinipa msalaba wangu niubebe mwenyewe mpaka Golgotha..!!

Nilivyo na utapeli mwingi hivii, Mungu anisaidie this time nakutumia picha kweli tena mdogo wangu..
 
Kuna siku nimechukua bodaboda airport nikitaka kuwahi Posta kabla benki hazijafungwa, mwendo alioenda nao na kupita barabara mbili taa nyekundu ikiwa zimewaka, nilimsimamisha ghafla nikamkabidhi pesa yake bila kudai chenji maeneo ya TAZARA. Nikachukua Tax biashara ya benki ikaishia hapo hadi kesho yake.

Sikuamini kama bado nipo hai kwa jinsi tulivyokoswakoswa na magari kwa jamaa kupita kasi tena taa nyekundu zimewaka. Ni kama robot yeye anaenda tu haangalii kabisa cha taa wala magari mengine..
Kwanini hutumii simbank au nenda kwa wakala sio lazima ufike bank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom