Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Tema mate chini! Foleni ilinifanya niipande toka Kino hadi Airport kuwahi na nilikuwa last passenger to board
Hukuzingatia muda ndo maana ulipanda boda, huwa mnapewa Arrival time ya Masaa 2 hivyo ondoka ulipo mapema ili uwahi fika
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
Mkuu hao wakiwa wanaziwahisha mbususu huwaga wanakuwa na wenge sana, halafu mademu ni tofauti sana na wanaume........mwanaume ni rahisi sana kung'amua ajali mapema na hata kuiepuka maana muda wote anakuwa yupo alert, demu akishakaa kwenye boda yaani anajiachia tu na kuanza hata kutuma meseji za kumjulisha jamaa asiwe na wasiwasi mbususu itafika ndani ya dakika chache....
 
Ushauri wangu kwa serikali bodaboda nazo zipunguzwe, kama wanavyo dili na machinga sasa wageukie na boda boda nazo.
Kwanza ni hatarishi, wanao ziendesha wengi wao hawastahili, zimekuwa nyingi mno mjini, zinasababisha msongamano mkubwa na mengine mengi ambayo yanasababisha kuwepo na sababu ya boda boda kuondolewa au kupunguzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kuna vitu haiwezekani tena,mi naoenda zisiingizwe kabisa nchini,zimeua watu ninaowafahamu zaidi ya 10,mdogo wangu nusu imtoe roho ,zimemkosa mara mbili ,sasa hivi mguu mmoja mlemavu ,alikuwa amamiliki pikipiki 5 ,nikamshauri auze zote kuondoa jinamizi la mauti na akafanya hivyo.
 
Wanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.

Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Mambo mseto!!!
 
Nilipata ajali tarehe 29.4.2021 nikavunjika mguu wa kulia,mpaka leo nipo kitandani

Dereve wa bodaboda alifariki palepale, kuja kichunguza naambiwa alikua kalewa pombe.
Dah! Pole sana,Mungu akufanyie wepesi
 
USA tutaishia kuiona kwenye filamu tu.
Economy haifiki bei hio. Ni bei ya kawaida wala usiogope
Screenshot_20211004-052515.png
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
wanasahau hata kujishika wanajiachia tu. Mdogo wangu mmoja nilimuonya tabia ya ku-relax kwenye bodaboda, akacheka siku ya tano baadae alijiachia akisoma message, kwa bahati mbaya mbele kulikwa na roli la ujenzi wa reli ya SGR, likadondosha jiwe na kwavile bodaboda alikuwa karibu sana hakuweza kulikwepa hilo jiwe akalipapanda lakini bodaboda haikuanguka bali yule dada alirushwa juu akatua chini, aliumia uso na mikono ambayo ilimpelekea kuugua siku takriban 10
 
Sema mademu sijui kwann wanakaaga kiupande upande
Shobo
wanasahau hata kujishika wanajiachia tu. Mdogo wangu mmoja nilimuonya tabia ya ku-relax kwenye bodaboda, akacheka siku ya tano baadae alijiachia akisoma message, kwa bahati mbaya mbele kulikwa na roli la ujenzi wa reli ya SGR, likadondosha jiwe na kwavile bodaboda alikuwa karibu sana hakuweza kulikwepa hilo jiwe akalipapanda lakini bodaboda haikuanguka bali yule dada alirushwa juu akatua chini, aliumia uso na mikono ambayo ilimpelekea kuugua siku takriban 10
Inasikitisha sana
 
zipigwe marufuku kabisa mijini kwenye magari na movement kubwa, matumizi ya uber na tax yatiliwe mkazo mijini.. Ziluhusiwe vijijini kwa usimamizi maalum na kwenye miji midogo kuwe na leseni maalum..

Kiukweli sensa ya vifo vitokanavyo na bodaboda ikifanyika tutastaajabu sana, idadi ya walemavu na majeruhi wa bodaboda record ikiwekwa tutashangaa sana namna nguvu kazi inavyopotea...
 
ukisoma tu huu uzi hapa utagundua watu wengi sana wamekufa kupitia hizi bodaboda na wengi sana wamepata ulemavu kwa kusoma tu huu uzi...
 
Back
Top Bottom