Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

wenyewe wana boda boda wao,sijui kama utaeleweka[emoji41][emoji41][emoji41].

mimi natamani polisi wapewe mamalaka ya kutandika fimbo bodaboda kama kule india[emoji1787][emoji1787][emoji1787],labda ndio kitu wataelewa.
 
Watu wa chadema wako very constructive kwenye society Yani hata mada zao ni zenye kujenga jamii. Sasa ngoja wake nzi wa kijani; mada zao wao ni....
1.Lissu auwawe tu.
2.Mbowe anyongwe.
3.Hakuna Kama mama ssh kule unga.
Nk .
Yani mada za ujingaujinga tu.

wangekuwa na nia njema na jamii wangekuwa wanatumia muda wao hata huko space kutoa elimu kwa jamii kama hizi.

ila muda wote siasa tu.
 
Ha

Harafu nywere bandia sio nzuri. Mara nyingi sana naona watu wanawashwa harafu nywere bandia huwa ndio SABABU.
Harafu nywere bandia zinaleta ukurutu na papasi mwilini.
Harafu nywere bandia sizipendi ila Basi tu
NYWERE [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] bandia...

ndio sababu!

Aisee!
 
wangekuwa na nia njema na jamii wangekuwa wanatumia muda wao hata huko space kutoa elimu kwa jamii kama hizi.

ila muda wote siasa tu.
Chadema ni chama Cha siasa ulitaka wahubiri dini?
 
Nilishuhudia mdada pale flyover za ubungo mdada yupo kwenye bodaboda amekaa kiupande kama kawaida yao. Yule boda akaminya break ya ghafla yule dada anatoka mzima mzima kutokea juu ya flyover adi down. Lol alifariki palepale, mdada mrembo hakupata ata nafasi ya kulia
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
Ajali ni ajali lakini Kuna ajali zinaweza kuepukwa. Huku Chugga huwa sipandi bodaboda ya dereva aliyevaa skin jeans na buti , koti la kibishoo, kofia isiyo helmet na anayeonekana ni under 30 years sipandi
 
Wanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.

Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Huyo wa helment hajitambui ila wa kavu anajitambua na kuijali dunia.
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
Sema na hawa wadada wanakaa kibishoo sana kwenye pikipiki eti anakaa mwisho kabisa kwenye chuma alafu hashikilii anachojua ni kujibinua tu kwahyo boda anapo shika break anakua hana balance anaanguka kama gunia
 
Nilishuhudia mdada pale flyover za ubungo mdada yupo kwenye bodaboda amekaa kiupande kama kawaida yao. Yule boda akaminya break ya ghafla yule dada anatoka mzima mzima kutokea juu ya flyover adi down. Lol alifariki palepale, mdada mrembo hakupata ata nafasi ya kulia
Sema mademu sijui kwann wanakaaga kiupande upande
 
Back
Top Bottom