Mtu unaenda marekani na nauli ni USD elfu karibia 10, na una viza ati uache na kununua ticket ingine! Unless una economy class
Pole Sana, mpendwa.Nilipata ajali tarehe 29.4.2021 nikavunjika mguu wa kulia,mpaka leo nipo kitandani
Dereve wa bodaboda alifariki palepale, kuja kichunguza naambiwa alikua kalewa pombe.
Kwahiyo Kama ajali zipo ndio hupaswi kuchukua tahadhariAjali haina kinga, waweza kupata ajali kwenye ndege, mabasi makubwa hata ajali ya kuanguka ndani kwako kwenye tiles,
Ukute hata hukuweza kutoa first aid na mipombe yako uliyopombeka.
Let little angels rest well.
Asante sana, na wewe ni group admin?Noted mkuu tayari tumebadilisha.
Asante, dira yangu yangu ya maisha imeharibika kisa bodabodaPole sana Bro!
Kijana siyo kuongea tu, mara nyingi fanya utafiti kidogo kabla ya kujiandaa kuandika. Mfano Lowest fare ni USD 9,805. Naweka screen shotDola elfu kumi tiketi ya USA.![emoji15]
Pole Sana mzaziAsante, dira yangu yangu ya maisha imeharibika kisa bodaboda
Tena bora awe aliondoka men alone kama alipata kampani, basi ataisikia pepopepo utaisikia Mkuu
[emoji3][emoji2][emoji2]Harafu ni nini
Nafahamu hiyo changamoto nilipoteza mdogo wangu kwa ajili ya hizi boda boda!Asante, dira yangu yangu ya maisha imeharibika kisa bodaboda
Duuh,Pole sana aiseeNilipata ajali tarehe 29.4.2021 nikavunjika mguu wa kulia,mpaka leo nipo kitandani
Dereve wa bodaboda alifariki palepale, kuja kichunguza naambiwa alikua kalewa pombe.
Pole.Nafahamu hiyo changamoto nilipoteza mdogo wangu kwa ajili ya hizi boda boda!
Uzi umejaa busara tupu! Binafsi nimekuelewa BUJI, na nitaufanyia kazi ushauri wako!NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.
Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.
Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.
Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.
Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.
Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.
With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.
2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.
3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.
4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.
5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.
6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.
Wishing you all the best
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Muda mwingine naona pikipiki ndio kama zina mapepo maana mtu mwingine mstaarabu tu akishika pikipiki anaenda kama kichaa.
Kuna siku niko maeneo fulani barabara ya vumbi nikapishana na bodaboda anaenda mbio anaacha vumbi tu. Nacheck side mirror naona pikipiki iko kwake dereva yupo kwake. Katimua vumbi mpaka akawa haoni njia.
Hiki chombo cha usafiri kinasaidia kwenye emergencies lakini kama mleta mada alivyosema yatupasa kua makini. Ulinzi unaanzia kwako.
Wazungu tunasema well saidNI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.
Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.
Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.
Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.
Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.
Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.
With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.
2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.
3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.
4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.
5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.
6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.
Wishing you all the best