Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #141
Sema na hawa wadada wanakaa kibishoo sana kwenye pikipiki eti anakaa mwisho kabisa kwenye chuma alafu hashikilii anachojua ni kujibinua tu kwahyo boda anapo shika break anakua hana balance anaanguka kama gunia
Chadema ni chama Cha siasa ulitaka wahubiri dini?
Kijana siyo kuongea tu, mara nyingi fanya utafiti kidogo kabla ya kujiandaa kuandika. Mfano Lowest fare ni USD 9,805. Naweka screen shot
View attachment 1961078
Wote wapanda ndege na wanaomiliki magari yaoina maana jf haina hata boda mmoja?
Kwani USA kuna nini zaidi ya waliochanganyikiwa tu. Sijaona uzuri wake! Ingawa sijawahi ishi hukoUSA tutaishia kuiona kwenye filamu tu.
😂😂😂Tena bora awe aliondoka men alone kama alipata kampani, basi ataisikia pepo
kwa mkazi wa Dodoma anaelewa kwanini nimesema hivyo"Kulikoni tena mbona wasema pepo ataisikia"
Hukuzingatia muda ndo maana ulipanda boda, huwa mnapewa Arrival time ya Masaa 2 hivyo ondoka ulipo mapema ili uwahi fikaTema mate chini! Foleni ilinifanya niipande toka Kino hadi Airport kuwahi na nilikuwa last passenger to board
Mkuu hao wakiwa wanaziwahisha mbususu huwaga wanakuwa na wenge sana, halafu mademu ni tofauti sana na wanaume........mwanaume ni rahisi sana kung'amua ajali mapema na hata kuiepuka maana muda wote anakuwa yupo alert, demu akishakaa kwenye boda yaani anajiachia tu na kuanza hata kutuma meseji za kumjulisha jamaa asiwe na wasiwasi mbususu itafika ndani ya dakika chache....NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.
Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.
Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.
Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.
Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.
Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.
With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.
2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.
3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.
4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.
5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.
6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.
Wishing you all the best
Dah[emoji25]Yaani ajali nyingi sisi ndio victims, na hatujui KURUKA. Nina rafiki zangu zaidi ya sita wameenda na mwingine Rehema Muya kapoteza uwezo wa kutembea, spinal cord imevunjika
Sema kuna vitu haiwezekani tena,mi naoenda zisiingizwe kabisa nchini,zimeua watu ninaowafahamu zaidi ya 10,mdogo wangu nusu imtoe roho ,zimemkosa mara mbili ,sasa hivi mguu mmoja mlemavu ,alikuwa amamiliki pikipiki 5 ,nikamshauri auze zote kuondoa jinamizi la mauti na akafanya hivyo.Ushauri wangu kwa serikali bodaboda nazo zipunguzwe, kama wanavyo dili na machinga sasa wageukie na boda boda nazo.
Kwanza ni hatarishi, wanao ziendesha wengi wao hawastahili, zimekuwa nyingi mno mjini, zinasababisha msongamano mkubwa na mengine mengi ambayo yanasababisha kuwepo na sababu ya boda boda kuondolewa au kupunguzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mseto!!!Wanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.
Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Dah! Pole sana,Mungu akufanyie wepesiNilipata ajali tarehe 29.4.2021 nikavunjika mguu wa kulia,mpaka leo nipo kitandani
Dereve wa bodaboda alifariki palepale, kuja kichunguza naambiwa alikua kalewa pombe.
Economy haifiki bei hio. Ni bei ya kawaida wala usiogopeUSA tutaishia kuiona kwenye filamu tu.
Wanaita pozi la kuwavuta mabebzSema na hawa wadada wanakaa kibishoo sana kwenye pikipiki eti anakaa mwisho kabisa kwenye chuma alafu hashikilii anachojua ni kujibinua tu kwahyo boda anapo shika break anakua hana balance anaanguka kama gunia
wanasahau hata kujishika wanajiachia tu. Mdogo wangu mmoja nilimuonya tabia ya ku-relax kwenye bodaboda, akacheka siku ya tano baadae alijiachia akisoma message, kwa bahati mbaya mbele kulikwa na roli la ujenzi wa reli ya SGR, likadondosha jiwe na kwavile bodaboda alikuwa karibu sana hakuweza kulikwepa hilo jiwe akalipapanda lakini bodaboda haikuanguka bali yule dada alirushwa juu akatua chini, aliumia uso na mikono ambayo ilimpelekea kuugua siku takriban 10NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.
Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.
Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.
Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.
Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.
Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.
With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.
2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.
3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.
4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.
5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.
6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.
Wishing you all the best
ShoboSema mademu sijui kwann wanakaaga kiupande upande
Inasikitisha sanawanasahau hata kujishika wanajiachia tu. Mdogo wangu mmoja nilimuonya tabia ya ku-relax kwenye bodaboda, akacheka siku ya tano baadae alijiachia akisoma message, kwa bahati mbaya mbele kulikwa na roli la ujenzi wa reli ya SGR, likadondosha jiwe na kwavile bodaboda alikuwa karibu sana hakuweza kulikwepa hilo jiwe akalipapanda lakini bodaboda haikuanguka bali yule dada alirushwa juu akatua chini, aliumia uso na mikono ambayo ilimpelekea kuugua siku takriban 10