Wivu na chuki ya maendeleo mbaya sana: Waigbo wa Nigeria ndio kabila lenye akili na uwezo mkubwa kibiashara, wanakomolewa ila bado wanadunda

Ombaomba ni kwa sababu ya kuwa wengi zaidi .
.Nigeria kwa tajiri mkubwa ni Dangote ila ukienda kwa uwiano matajiri wa kati wengi ni igbo ...
 
Ndio hao kuna article kibao zipo mtandaoni zinaeleza wanajisafisha.
..Aliko dangote anawaburuza maisha yao yote😆😆Aliko ni Hausa....Hao utajiri wao wengi ni wezi kama Hushpup
Hapa nimekusoma 😂😂😂
 
hayo makabila yote matatu yana watu wengi sana, hakuna lenye idadi chini ya watu milioni 30 (nusu ya watanzania wote).

Hausa hawajali elimu na hawana umoja, wapo kiukoo zaidi.

Usiwe mbishi kijana kuwa na taarifa ,mimi jipo nairalanda miaka ...Hujui chochote

Kabila maskini kabisa ni Ezza tribe ambao ni jamii ndogo ndani ya Igbo...Saaa onyesha wapi Hausa ni Maskini ..

Hausa wanaishi maisha ya jamii ya kati sio kibapari...Igbo wanaishi kama hauna kitu hauna thamani .
 
..Aliko dangote anawaburuza maisha yao yote😆😆Aliko ni Hausa....Hao utajiri wao wengi ni wezi kama Hushpup
Kitu cha kwanza kabisa Hush Puppy alikuwa myoruba, kilichomkamatisha wayoruba wanapenda sana ku show off, jamaa anaiba pesa ila anaishi maisha ya kutumbuliwa macho na kila mtu akaingia rada ya FBI.

Ni kweli Aliko Dangote ndiye tajiri ila kumbuka wahausa wamewekewa grisi, tenda kubwa wanapewa wao, power ya nchi kwa kiasi kikubwa ipo kwao,

Huwezi kumweka class moja na waigbo wanaopambana kila kukicha na serikali yao na bado wanapasua
 
Kwa hiyo Igbo ni kama Wakinga wa Tzn si ndio?
 
Hayo uliyoweka ni makabila madogo sana mkuu, hayana nguvu, makabila makubwa Nigeria ni matatu na kabila dogo kati ya hayo matatu ni waigbo ambao ni nusu ya idadi ya watanzania.

Cheki hayo matatu
 
Yorub ndio nembo ya kijeria kweny entertainment zote ... Wakina Dvido ,wizkid ,Burnaboy
 
Hayo uliyoweka ni makabila madogo sana mkuu, hayana nguvu, makabila makubwa Nigeria ni matatu na kabila dogo kati ya hayo matatu ni waigbo ambao ni nusu ya idadi ya watanzania.

Cheki hayo matatu
😆😆😆Hiyo ndio state maskini ni sehemu ya igbo.

Huwezi kuongelea Nijeria kimataifa bila ya yoruba na Hausa..
 
Kwa hiyo Igbo ni kama Wakinga wa Tzn si ndio?
Mkuu hao waigbo sioni hata wakikuyu wa Kenya wakiwafikia hata theluthi.

Wakinga pamoja na kuishi nchi ya amani wameanza kujipata "kibongobongo" miaka ya 2000, na hadi sasa bado hawajawafikia wachaga ambao wanakimbiza "kibongobongo",

Hebu wewe paangalie tu hapa Makete wanakotokea wakinga, Nchi ina amani hii ila wameshindwa kujenga kwao,

 
Mkuu hao waigbo sioni hata wakikuyu wa Kenya wakiwafikia hata theluthi.

Wakinga pamoja na kuishi nchi ya amani wameanza kujipata "kibongobongo" miaka ya 2000, napo bado hadi sasa hawajafikia wachaga ambao wanakimbiza "kibongobongo"
Mchaga anamkimbiza nani Bongo hii?

Wachaga wanamiliki Mikoa mingapi hapa Tzn?
 
😆😆😆Hiyo ndio state maskini ni sehemu ya igbo.

Huwezi kuongelea Nijeria kimataifa bila ya yoruba na Hausa..
Maeneo wanayotokea waigbo hayana maendeleo sababu serikali haipeleki maendeleo (wanakomolewa kwa bita ya 1970) lakini bado watu wake wana maendeleo sababu ni jamii ya biashara na pesa wanazotafuta huko kwenye majiji makubwa zinarudi vijijini kutunza ndugu zao wasilale njaa, kujenga shule, kujenga hospitali, n.k.

Wahausa wamejenga mabarabara huko kwao lakini maendeleo ya mtu moja moja bado yapo chini sana, upigaji upo juu sana, omba omba kibao wapo zaidi miji ya wahausa.

Hii ni chat gpt imeweka wazi nigeria ya kaskazini ndio inaongoza kwa umaskini


 
Sahihi mleta mada wa Igbo wafanyabishara wakubwa wa Nigeria Tanzania tukipata kumi tu Wahindi na waarabu watafunga virago

Dangote wa Dangote cement ni mu Igbo

Serikali inapotafuta wawekezaji wakubwa isiwasahau wa igbo wa Nigeria .Hawawekezi biashara vidogo vidogo kama duka la mangi au duka la mpemba

Raisi Kikwete ndie alimleta Dangote tusiangalie tu Ulaya au marekani au Asia

Africa tuna potential ya wawekezaji wakubwa wa Igbo wao ni wawekezaji biashara kubwa sio utani .

Raisi Mstaafu Kikwete ana connection ya wa Igbo kupitia Dangote Mu Igbo
 
Dangote ni Muhausa, kwake vyuma vimelegezwa katika biashara zake anateleza.

Ukiwa Muhausa Nigeria na uwe na soiriti ta buashara kuna vikwazo vichache sana, ni bidii yako tu
 
Uzi mzuri,,,,Hawa wapopo wanaongoza kuuza pisi za E,S Africa ughaibuni huko,,,hivi huko kwao kwani hakuna wanawake wazuri,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…