Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Buza kwa lulenge , mwambie boda unaenda.................?
Kanisani kwaPastor Dominick ,kiboko ya wachawi watakufikisha 12:00 naanza kuona watu na kuwaombea

Pigasimu namba .............
 
Hii ya kuvaa gloves kuficha rangi ya mikono nimehisi. Mzee wa ngurumo ya upako mikono yake pia sio meupe tofauti na uso.
 
Na yule alieangamiza watu zaidi ya 20 huko moshi ulishauri achunguzwe? Hatua gani zilichukuliwa dhidi yake?
 
Wewe pia umepuyanga na huna tofauti na waumini wa huyo nabii uchwara, dini zote ni SCAM.. hiyo yenye mabikra 70 na mito ya pombe ndio in uimara gani? Haujawahi kuona waumini wa hiyo unayoita Dini pekee wanavyojazana kwa mitume na manabii feki?
 
Kwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa, kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo
Mkuu Kuna mteja mkubwa wa hawa mitume tofauti na muislamu!? Na ndo maana mitume hawa wanaibukia sehemu za pwani kwenye waislamu wengi.
 
Hakunaga pastor kiboko ya watawala mafisadi??

Hawa mapastor huko wanapaogopaga hawagusi
 
Acheni wivu, kuna mtu anafanya Ramli chonganishi kama Kuhani Mussa? mwamposa daily watu wanafia pale mupo kimya.

Gwajima anibia wamama wa watu Mupo kimya. Leo kiboko ya wachawi tu ameanza kula mema ya nchi munaanza kumsagia Kunguni. Mwacheni nayeye afaidi za wajinga waliobaki Nchini.

Kuna jamaa yangu anapiga pale kazi anakula amisha kinoma asee jamaa anpiga za wajinga kwa njia Za kijinga.
 
Mkuu Kuna mteja mkubwa wa hawa mitume tofauti na muislamu!? Na ndo maana mitume hawa wanaibukia sehemu za pwani kwenye waislamu wengi.
Waislam wanawapenda na kuwaona kama mashekhe waagua mapepo tu ,mkristo wa kweli hawezi kukubaliana na ujinga ule

USSR
 
Anapiga unajua watu wanagapi wanafia pale
 
Wajinga ndio waliwao biblia Iko wazi kabisa kumfahamisha mjinga ,watu ni wavivu kusoma wanategemea watu!
 
Ngoja niende maeneo ya tandale uzuri nikamtafute Mwarabu fighter,nitakuja na a,b,c zote za huyo pastor kiboko ya wachawi
 
Wakumbushe hii nchi ni shamba la bibi,njoo na ubunifu wako utapiga hela hasa kwenye mambo ya dini,uganga na mikataba ya hovyo.
 
King Kong III hongera mkuu kuna post ya nyuma ulishawasanua watu kuhusu huyu jamaa.

Thanks sana Burrell ,watu wanatapeliwa kijinga sana ,sijui kwanini wanashindwa kuona USANII wa wazi wazi wa hao MATAPELI kupitia Dini.

Jamaa amejitajirisha sana kwa kuwaibia watu,kwasasa anatoa misaada kuficha WIZI wake ,ametoa DIFENDA tatu kwa kituo cha Polisi kwa ajili ya patrol ,kwasasa anatoa misaada ya kijamii kwenye taasisi mbali mbali ,anagawa fedha elfu 10 kumi sehemu anazopita.
 
Kwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa, kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo
Nakusanua bro asilimia sabini ya waumini huko ni waislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…