Wizara kuweka gharama za kulipia nguzo 1,2,3 = Tsh 27000/= linaleta kero kubwa, TANESCO hawana uwezo wa kufidia punguzo hilo

Wizara kuweka gharama za kulipia nguzo 1,2,3 = Tsh 27000/= linaleta kero kubwa, TANESCO hawana uwezo wa kufidia punguzo hilo

Tena mteja kulipa 27,000 bado ni nyingi kwa sababu atawalipa umeme wenu maisha yake yote. Ilitakiwa umeme ufungwe bure
Kuna nguzo nyingine mteja analipia 27,000 unakuja nguzo hiyo hiyo ina wateja 6 . Hamjiulizi tu kuwa 27,000 ni fedha nyingi?
 
Tanesco wanafeli kwa sababu ya kukosa long term plan , plan zao nyingi zinafanyika kwa zima Moto,
Swala la kuondoa gharama za nguzo serikali ipo sawa tu,
 
Ushauri serikali ijikite kuzalisha umeme kwenye mabwawa, umeme wa jua, umeme wa upepo , umeme wa gesi iuzie kampuni binafsi na hizo binafsi zisambaze umeme kwa wateja kwa masharti kwamba eneo moja linaweza kuhudumiwa na kampuni zaidi ya Tatu , itapelekea kuwa na ushindani wa kutoa huduma .
 
watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.
Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.
In other words Waziri ni mbabaishaji
Anauma na kupulizia, ameshindwa kuwasimamia Tanesco na ameshindwa kuwafikishia huduma wananchi, yupo katikati somewhere anadanganya huku na anadanganya kule, serikali inamlipa mshahara kwa kazi gani?
 
Madhara ya huduma kuwa monopoly jamaa hawana mshindani hivyo ubunifu na huduma kwa wateja inakua zero.
 
Tena mteja kulipa 27,000 bado ni nyingi kwa sababu atawalipa umeme wenu maisha yake yote. Ilitakiwa umeme ufungwe bure
TANESCO ni mzigo, ingekuwa kampuni binafsi tungewaita jambazi ambalo hata likiiba milioni ndani ya muda mfupi keshafuja zote. wateja wanalkpishwa bill bila vigezo ,mtaa mmoja,nyumba za aina moja, matumizi ya aina moja Kama wako watano wakienda kununua umeme wa elfu tano(5000)kila mmoja anauziwa kwa bei take, huyu units 14.huyu units 42.huyu units60.utasikia tarrifs 0,1,2,3,0,kigezo kitu kidogo. hata hili la nguzo kabla ya agizo la serikali, kuwa wa kwanza kulipianguzo eneo X nguzo tano kwa shilingi 2,000,000/=cha ajabu wenzako nao watatozwa mihela kwamba na wao wamenunua nguzo zilezile ulilizokwisha nunua. ukijiuliza kwanini TANESCO haitengenezi exorbitant profit kwa miamala hiyo ya dhuluma huwezi pata jibu, huenda... lakini wakiundiwa KATUME yatajulikana Mengi.
 
Tanesco wanafeli kwa sababu ya kukosa long term plan , plan zao nyingi zinafanyika kwa zima Moto,
Swala la kuondoa gharama za nguzo serikali ipo sawa tu,
Ukizingatia nguzo moja huweza kuwahuduma hata wateja 10*27,000=270,000
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hato ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.
Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Unatakiwa kutambua kuwa ni kosa kuwalipisha wateja wa umeme nguzo! Nguzo ni kwa ajili ya miundo mbinu ya umeme ambalo ni jukumu la Tanesco. Tanesco inafanya biashara ya kuuza umeme na sisi wateja tunalipia kawaida. Na ni dhahiri katika bei ya umeme ni lazima waweke na gharama za uendeshaji ndani including gharama za nguzo na kama hawafanyi hivyo hilo ni kosa lao! Ni sawasawa kuwaachia wananchi kujijengea barabara, haiwezekani! Yaani mteja alipie nguzo 10 mfano kuja kijijini au mtaa fulani!? Maana hapa atakuwa tayari amewafikishia majirani zake ambao sasa watalipia labda nguzo moja, nani atamfidia huyu wa nguzo 10? Ndio maana serikali inasema jukumu la nguzo ni la Tanesco!
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hayo ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.

Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Ukweli tupu maana wamelemewa na mzigo hawana ujanja kabisa
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hayo ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.

Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Waziri ameleta siasa kuliko uhalisia shids tu ni kupata political fame lakini ukweli ni kwamba hilo haliwezekani tanesco kwa mara ya kwanza mwaka uliopita wamepata faida haya anayoleta waziri ni kutaka kurudisha nyuma juhudi za wataalam na wafanyakazi wote wa tanesco kutaka kulifanya shirika lijiendeshe kwa faida
 
Tena mteja kulipa 27,000 bado ni nyingi kwa sababu atawalipa umeme wenu maisha yake yote. Ilitakiwa umeme ufungwe bure
Achana na mazezeta maana kazi ya Tanesco ni kuleta umeme na mteja kulipa bill ya umeme
 
Mnaosema huduma iwe bure hamjui jinsi ilivyongumu kupata umeme tanesco kwa hiyo 27000/=, ni Bora ulipie million 1 upate umeme ndani ya mwezi kuliko kulipia 27000 uupate baada ya miaka miwili,
 
Kwanini Tanesco tu ndio iuze nguzo? Kwanini kusiwe na mbia au wakala wa nguzo tanzania, kwamba unalipia kwake then tanesco inakuja kutandanza nyaya?? Au kuunga umeme tu!!
 
Kazi ya Tanesco ninkuuA na kusambaza umeme aio kuuza nguzo na kadri watakavyokuwa nq wateja wengi ndivyo mapato yataongezeka wizara wako sahihi
 
Kazi ya Tanesco ninkuuA na kusambaza umeme aio kuuza nguzo na kadri watakavyokuwa nq wateja wengi ndivyo mapato yataongezeka wizara wako sahihi
Tunacholipia ni service line cost
Sasa anapokuja surveyor kwako kukagua
Na kujua we utalipia kiasi gani uingiziwe umeme
Ndiyo, hapo inategemea na ukaribu na nguzo
Zilizopo kwako

Ova
 
Acha uongo wako wewe!

Umeme wa 27,000 ni wa REA ambao gharama zake zinabebwa na selikali!

Sehemu ambayo hukuna mradi wa REA ukitaka umeme na nguzo laki 5 inakuhusu.
 
Back
Top Bottom