Wizara ya Afya chukueni tahadhari kuhusu COVID-19, Waganda wanateketea

Kwa maisha ya hapa Kampala ninayoona
1. Mji uko overcrowded K'koo ikasome na hawako organized

2. Ni kweli 42 curfew imeanza lkn wako wana suffer na kupigwa usiku.
3. Grant ni moja la hitaji
 
Acha mbwembwe, kwenu wangapi wameanguka na Corona? Na una death certificates zinaonesha chanzo ni Korona, au unaimba tu wimbo wa wakati huu?

Hivi mnadhani mnaishi duniani peke yenu wengine tunaishi mbinguni? Acheni mambo zenu nyie. Tunaishi mitaan kama nyinyi na tuna akili timamu!
 
Hatupimi corona ila tukianza kupima hivyo vifo vya kawaida vinavyotoke sasa vingi vitahesabiwa ni vya corona, na hapo itaanza taharuki.
 
Mkuu bahadhi ya nchi za ulaya wameanza kulegeza masharti ikiwemo kuluhusu mashabiki kuingia uwanjani. CNN BBC awajawai kuwa na habari nzuri kuhusu africa
 

Si kuwa hawana majawabu, dalili ni kwamba chanjo itakubalika kama ambavyo unaona Zenji washaelekea kibra...
 
Sasa huko si wamechanjwa imekuwaje tena? Mambo ni mengi muda ni mchache!
Wanasema wamechanjwa watu wachache sana ndio maana bado corona inaendelea kusumbua, sasa ndio nashangaa serikali yetu katika vitu vyote wao wamekimbilia kutaka zije chanjo kana kwamba wamepata oda ya idadi kubwa ya wananchi kuwa teyari kutaka kuchanjwa.
 
Kwani si wamechanjwa au?
 
Misukule ya dikteta inakuambia tumuenzi dikteta, Covid19 hakuna tz,
Tahadhali ni muhimu, Corona ya safari hii ni ya kutisha
Sasa wewe si ni msukule wa mama? Mwambie sasa awafungie ndani
 
Nao wako kama sisi wala hakuna tahadhari yoyote, Uganda eti kuanzia saa 4 usiku usitembee mtaani sasa hiyo ni tahadhari gani.
 
Kuwa na adabu unamwita rais juha?

Mataga we
Mimi sio MATAGA, mimi ndio huwa nawatahiri MATAGA bila ganzi humu. Hebu watafute wakuambie....
Kazi inaendelea....Pia watafute MATAGA wenzio BIA YETU na KAWE ALUMN waje wamalizie dozi wasikimbie...
 
Mimi sio MATAGA, mimi ndio huwa nawatahiri MATAGA bila ganzi humu. Hebu watafute wakuambie....
Kazi inaendelea....Pia watafute MATAGA wenzio BIA YETU na KAWE ALUMN waje wamalizie dozi wasikimbie...
Sasa mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?

Yani unamuita kipenzi chako mama samia kwamba ni juha
 
Hata mwenge wastop
 
Sasa mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?

Yani unamuita kipenzi chako mama samia kwamba ni juha
Usinichonganishe na mama yangu. Unadhani tupo enzi za Mwendakuzimu???

Nenda Kisongo kamuone Sabaya, anapakatwa na nyapara sasa hivi.

Kisha nenda Chato kuhiji kwenye kburi la mwizi wa Afrika.
 
Usinichonganishe na mama yangu. Unadhani tupo enzi za Mwendakuzimu???

Nenda Kisongo kamuone Sabaya, anapakatwa na nyapara sasa hivi.

Kisha nenda Chato kuhiji kwenye kburi la mwizi wa Afrika.
Wewe ni kidagaa tu hapa nchini ndio maana hujui hata nini kinaendelea.

Pamoja na Sabaya kuwa rumande lakini maisha yake hakuna mtu kwneye ukoo wenu atakuja kuyafikia.
 
Wewe ni kidagaa tu hapa nchini ndio maana hujui hata nini kinaendelea.

Pamoja na Sabaya kuwa rumande lakini maisha yake hakuna mtu kwneye ukoo wenu atakuja kuyafikia.
kkkkkkkk kweli kabisa kwenye ukoo wetu hakuna ALIYEOLEWA JELA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…