Wizara ya Afya chukueni tahadhari kuhusu COVID-19, Waganda wanateketea

Wizara ya Afya chukueni tahadhari kuhusu COVID-19, Waganda wanateketea

Hofu..mbaya Sana aisee..kunywa malimao ,,jikinge na chukua tahadhari mwenyewe..hao WHO wenyewe sa hivi wanajiandaa kuja na tamko la kuwataka watu wajifunze kuishi na COvid ..so achane kujipa hofu Kama kufa tutakufa tu..
Wewe ni mjinga na mpumbavu kama yule mama Gwajima aliyekuwa anakula mananasi yaliyooza na mbivu zilizovunda anarekodi video anatuambia ndo mbinu ya kupambana na corona.
Hiyo kunywa malimao ndo ilimuua dikteta pombe, alikunywa malimao mpaka utumbo ukaoza covid ikamuondoa.

Watu wafuate taratibu za kitabibu kujikinga na corona na siyo kula malimao au mananasi yaliyooza
 
Haya wale wa "R.I.P Magufuli" siwaoni

Mmeona watu wanavyopukutika! Mkiambiwa corona ipo na inauwa mnabisha, haya sasa ikikupata sema tenaaa "R.I.P MAGU"
 
kkkkkkkk kweli kabisa kwenye ukoo wetu hakuna ALIYEOLEWA JELA.
Mkuu, achana na hili shangingi Crimea la pale lumumba, limepata sana mfadhaiko baada ya basha wake wa kwanza kufa na kuzikwa pale chato, basha wake mwingine ameolewa kisongo prisons, lina stress hapo lilipo linaweza kukufia ukapata kesi bure
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu kama yule mama Gwajima aliyekuwa anakula mananasi yaliyooza na mbivu zilizovunda anarekodi video anatuambia ndo mbinu ya kupambana na corona.
Hiyo kunywa malimao ndo ilimuua dikteta pombe, alikunywa malimao mpaka utumbo ukaoza covid ikamuondoa.

Watu wafuate taratibu za kitabibu kujikinga na corona na siyo kula malimao au mananasi yaliyooza

Watanzania wengi wao ni watu wa ajabu sana, sifa zikizidi unajikuta had unataman ukalie kichwa badala ya makalio. Yani wanaona kabisa watu wanaugua wanakufa lakini wao utawasikia kwetu corona imedunda ni mwendo wa kujifukiza na kula malimao. Huu ujinga sijui utaisha lini.
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu kama yule mama Gwajima aliyekuwa anakula mananasi yaliyooza na mbivu zilizovunda anarekodi video anatuambia ndo mbinu ya kupambana na corona.
Hiyo kunywa malimao ndo ilimuua dikteta pombe, alikunywa malimao mpaka utumbo ukaoza covid ikamuondoa.

Watu wafuate taratibu za kitabibu kujikinga na corona na siyo kula malimao au mananasi yaliyooza
Huko wanakoteketea walikua hawafuati hizo njia za kitaalamu unazotaja hapa?
 
Haya wale wa "R.I.P Magufuli" siwaoni

Mmeona watu wanavyopukutika! Mkiambiwa corona ipo na inauwa mnabisha, haya sasa ikikupata sema tenaaa "R.I.P MAGU"
Kwenye hili Magu anahusikaje, maana yeye alikataa chanjo

Waganda wamechanjwa, wanafuata protocol zote za kitaalamu na bado wanateketea

Kuna tatizo kubwa kwenye hili gonjwa zaidi ya kumdhihaki Magu.
 
Kwa ufupi tu leo CNN wameonyesha picha na kuwahoji madaktari nchini Uganda.

Watu wanateketea na picha zinaonyeshwa. Jamani inahuzunisha sana.

Wizara ya Afya ichukue tahadhari. Mikusanyiko ya watu mipirani, kwenye misiba, harusi, mikusanyiko ya watu kwenye mihadhara ya kidini kama ya makanisa, misikiti n.k ipigwe marufuku.

Ilinibidi nizime TV kwa huzuni ya majirani zetu Waganda. Hiyo imewapata yaani wanaiita second wave na tayari WHO washatangaza leo kuwa wimbi la pili la corona litazikumba nchi za kusini mwa jangwa la sahara yaani Sub saharan countries ambapo Tanzania imo.

Tuache mzaha jamani. Asiyeamini afungue saa hizi CNN ataona Live.

Wizara lazima ikubali kuchukua hatua za dharura. Its now or Never.
View attachment 1814909
hata siku moja wazungu hawawezi kuisema vizuri afrika.kwani wao mbona korona inawaswaga lkn afrika haiwaripoti vibaya?hawa watu wana mabifu na afrika naamini Mungu atatuvusha tu ila tahadhari tutachukua na Mungu atakuwa nyuma yetu kutulinda.
 
81301a6f7db5b62ebbcb24e34045d3b6.png


Chukua Tahadhari!​
 
Jamani tusilazimishane, wala usitupangie maisha! kajifungie mwenyewe sisi tutatembea na korona hatutapata! Badala ya kuishauri serikali izuie mikusanyiko ya mwenge wewe unashauri watu wasikusanyike kumwabudu Mungu! wewe una akili kweli? kwa taarifa yako mawazo yako yakitekelezwa kama nchi mtajuta kuzaliwa! Msilete hapa ushauri wa kishetani hii nchi iko mkononi mwa Mungu mwenyewe kwa kuwa huna macho ndiyo maana unafikiri sisi tunabahati!. Unajua humu jamvini kuna wachawi wengi wanaongea kwa imani yao, shida inaanzia hapo! wazungu wenyewe wanafata imani ya Magufuli na wanasema amefanikiwa, wewe unafata imani ya wazungu; kweli ngozi nyeusi ni majanga.
Ngozi nyeusi janga kwako mwenyewe. Unaponda wazungu, at the same time unaleta falsafa zao za hovyo kuwa ngozi nyeusi janga.

I am proud to be black, mimi ni zaidi ya hiyo ngozi nyeupe
 
Kwenye hili Magu anahusikaje, maana yeye alikataa chanjo

Waganda wamechanjwa, wanafuata protocol zote za kitaalamu na bado wanateketea

Kuna tatizo kubwa kwenye hili gonjwa zaidi ya kumdhihaki Magu.

Hawataki chanjo utadhani mama samia kawalazimisha wakati ni "hiari"

Hii kitu sipendi kuisikia "R.I.P MAGU" ni upumbavu kabisa, wakamfukue basi aje awasaidie na kuizuia hiyo chanjo isiingie.
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu kama yule mama Gwajima aliyekuwa anakula mananasi yaliyooza na mbivu zilizovunda anarekodi video anatuambia ndo mbinu ya kupambana na corona.
Hiyo kunywa malimao ndo ilimuua dikteta pombe, alikunywa malimao mpaka utumbo ukaoza covid ikamuondoa.

Watu wafuate taratibu za kitabibu kujikinga na corona na siyo kula malimao au mananasi yaliyooza
Mnalazimisha kweli kwamba Magufuli kafa kwa corona.
 
Hawataki chanjo utadhani mama samia kawalazimisha wakati ni "hiari"

Hii kitu sipendi kuisikia "R.I.P MAGU" ni upumbavu kabisa, wakamfukue basi aje awasaidie na kuizuia hiyo chanjo isiingie.
Sasa povu la nini kwani wao wamezuia hizo zisije?
 
elewa hoja mkuu. Inazuaia aliyechanjwa asiambukizwe, ila asiyechanjwa ataambukizwa na kuambukiza pia

Kama inazuia aliechanjwa asiambukizwe mbona aliechanjwa anaogopa kukaa na asiechanjwa?
Yaani Wazungu wanakomaa sanaa na Wasio chanjwa ili wachanjwe ili wasiwaambukize waliochanjwa[emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom